To my surprise......
Speakth the truth....and only the truth....won know the color of a lie.....
Put on the smiles....put off the suprise!
Mzima?
To my surprise......
MMU ni noma kwa kweli mi niko kijiji huku lakini nimo 2 nachungulia chungulia kazi zikipungua. Huu ni ugonjwa kabisa
Mzima.... Hofu kwako!Speakth the truth....and only the truth....won know the color of a lie.....
Put on the smiles....put off the suprise!
Mzima?
Wadau nitoeni ushamba , MMU ndo nini ?
Jukwaa la Mapenzi, Mauhusiano na Urafiki
Sema ahsante babu Download:
Sema ahsante babu Download:
MAHUSIANO, MAPENZI, URAFIKI (MMU)....
Ooooops nilikuwa nimeji-ban, sori narudi ubanini..
Kipepeo hatui kwenye uchafu, inzi hatui kwenye maua...
Najua unavyoupenda uchafu..........
Hofu yangu ujenzi wa taifa utakuwa mashakani
We need that badly....Haswaaa yaani MTM umelenga haswa kwenye ugonjwa wangu........Hivi Maxence haweziweka some sort of monitoring check...........ambayo itaditect yule member ambaye amekuwa addicted afu ikawa inampa an outomatic healthy BAN?
We need that badly....
LIke tuwekewe quota, ukishatumia 4 hours kwenye MMU inabidi usubiri tena hadi kesho
I think that could be done
by .............. beyond expectations
Guys...
This JF MMU is very addictive sasa... yani wherever i go these days, the first thing i do ni kuulizia kama kuna wanaJF nk.
You just cant stop thinking of MMU
I think we can create a very powerful tool to support each other kwenye mambo mengi sana through this forum
just cant get enough of this forum
Haswaaa yaani MTM umelenga haswa kwenye ugonjwa wangu........Hivi Maxence haweziweka some sort of monitoring check...........ambayo itaditect yule member ambaye amekuwa addicted afu ikawa inampa an outomatic healthy BAN?
...ha ha ha, MwanajamiiOne,...addiction ikishafikia hapo inabidi kuomba msaada wa kidakitari.