Addiction

Mi siko adiktedi kabisaaaaaaaaaa!

Thats why nna marundo ya viporo vya kazi ambavyo nalazimika kuvimalizia Jumamosi wakati wana MMU wengi wanakuwa wamepumzika na MMU yao. Download: eType.com/f.php
 
Naona huku mazungumzo mengi

MMU kuna umbea sana

mi napenda Matangazo , elimu na Jukwaaa la biashara na uchumi

Sometimes mambo ya watu wazima
 
Haswaaa yaani MTM umelenga haswa kwenye ugonjwa wangu........Hivi Maxence haweziweka some sort of monitoring check...........ambayo itaditect yule member ambaye amekuwa addicted afu ikawa inampa an outomatic healthy BAN?
 
Haswaaa yaani MTM umelenga haswa kwenye ugonjwa wangu........Hivi Maxence haweziweka some sort of monitoring check...........ambayo itaditect yule member ambaye amekuwa addicted afu ikawa inampa an outomatic healthy BAN?
We need that badly....

LIke tuwekewe quota, ukishatumia 4 hours kwenye MMU inabidi usubiri tena hadi kesho

I think that could be done

by .............. beyond expectations
 
We need that badly....

LIke tuwekewe quota, ukishatumia 4 hours kwenye MMU inabidi usubiri tena hadi kesho

I think that could be done

by .............. beyond expectations

Hahahahahaaaaaaaaaa MTM naona ulivyo na uchungu na muda wa mkoloni hahaha.............kwa staili hiyo Taifa litajengeka

I think Max should give this a thought............
 
Guys...

This JF MMU is very addictive sasa... yani wherever i go these days, the first thing i do ni kuulizia kama kuna wanaJF nk.

You just cant stop thinking of MMU

I think we can create a very powerful tool to support each other kwenye mambo mengi sana through this forum

just cant get enough of this forum

...'nadhani' unamaanisha counselling Thread kuachana na addiction ya JF, au sio kaka?
 
Haswaaa yaani MTM umelenga haswa kwenye ugonjwa wangu........Hivi Maxence haweziweka some sort of monitoring check...........ambayo itaditect yule member ambaye amekuwa addicted afu ikawa inampa an outomatic healthy BAN?

...ha ha ha, MwanajamiiOne,...addiction ikishafikia hapo inabidi kuomba msaada wa kidakitari.
 
...ha ha ha, MwanajamiiOne,...addiction ikishafikia hapo inabidi kuomba msaada wa kidakitari.

Hapa mkoloni kawasha jenereta ili nichape kazi...ila wapi bana....nakodoa macho jf....
 
Back
Top Bottom