Jina lako linanifanya nikose cha kuamini katika taarifa hii. Lakini inawezekana ni kweli kwani hao si ndo wale walioasisiwa na magamba ili kupambana na upinzani. Inawezekana posho zao magamba wamezichelesha ndio maana wakabuni njia ingine ya kijasiriamali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.