- Thread starter
- #21
Kama kuna kada ya watu wachafu wa nafsi na wafitini ,waonevu wenye roho mbaya kupitiliza basi namba moja ni "mandata" ,"njagu","mamwela"."wafugabata"
Wakifuatiwa na wanasiasa
Aliwasoma, akawaelewa:
Apumzike kwa amani Kasongo Hamza.