ibrahim konga
Member
- Feb 14, 2016
- 21
- 7
The way you think your right but i now one thing adam na eva hawakuwa wawil tu kwa sabab tunaona mafuv ya kale na hayo yalikuwa ya wap kma walikuwa wawili tyuuu
Nishajiuliza sana hili swali na sikupata jibu nikabaki kuamini kwamba kulikuwa na zaidi ya Adam na HawaUkiwa mdadisi sana unaweza umiza kichwa, mfano, mwanzo alikuwapo Adam tu kisha akaja Hawa, wakazaa watoto 2 Abel na Cain, Abel akauliwa na Cain! Baada ya hapo Cain nae akapata watoto! Sasa KAMA HAKUMLALA mama yake, maana yake kulikuwa na mwanamke mwingine mbali na Hawa! Hivyo walikuwapo watu kabla ya hapo.
Mkuu au unataka kusrma Adam na Hawa walikua mbingu ya ulaya na kuna wengine walikua mbingu yetu, hebu ongea katika lugha laini sheikhThe way you think your right but i now one thing adam na eva hawakuwa wawil tu kwa sabab tunaona mafuv ya kale na hayo yalikuwa ya wap kma walikuwa wawili tyuuu
Slave mentality is the worst form of slavery...!!Mbona unawatukana waafrika bila sababu? kwani kuamini maandiko matakatifu ni utumwa? mbona waarabu/waislam nao wanaamini kuwa nabii adam ni binadamu wa kwanza? hata hao wazungu waliobobea katika science wanaamini maandiko matakatifu? Heshimu imani za watu
wew iman za watu hizo km unaona ni ulewi elewi we pita kushoto tu.. sio kuongea unayoyajua wwKwa kifupi tu biblia ni jipu maana imejaa uongo na ubabaishaji ukihoji wanakuambia omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa hii imani ni uchuro tu Duniani ndio maana kila mtu anatumia biblia kuishi ki ujanja ujanja hata shoga anatumia biblia kuhalalisha ushoga wake hiki kitabu kipuuzwe.
Hizi ni pumba
kama bata vile yani mwendo wa praaaaaaaa!Yani mkishashiba lazma mnye popote si ndio?
unaweza weka andiko linalotumiwa na mashoga ili kuhalalisha ushoga wao tafadhali!......Kwa kifupi tu biblia ni jipu maana imejaa uongo na ubabaishaji ukihoji wanakuambia omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa hii imani ni uchuro tu Duniani ndio maana kila mtu anatumia biblia kuishi ki ujanja ujanja hata shoga anatumia biblia kuhalalisha ushoga wake hiki kitabu kipuuzwe.
Nipe maelezo nikuelewe, mimi nimefikiria hivyo, kama siko sahihi, niweke sahihi. Kwa hiyo Cain na Abel waliwatomba dada zao?? Ebu nipe maelezo! Inaonyesha "unajua" mengi kuhusu hii kitu, ebu tupe ubuyu nasi.Taratibu....! Kwani uliambiwa Adamu hakuwa na watoto wengine wa kike? Na unajua ni miaka mingapi ilipita tangu Kaini amuue Habili hadi kupata mtoto?
Issue hizi msizozijua sio za kuingia kichwakichwa bila tafakuri ya kina na kuja na majibu yenu tayari tena ya kitoto.
Unadhani kama lengo lingekuwa kudanganya wangeshindwa kupanga uongo ili watu wapuuzi washindwe
Hayo maswali ulosema tujiulize, na wewe sasa utusaidie kutafuta majibu. Ndo tunataka majibu maana tuko njia panda, haya mambo ya woga woga wa kuhoji eti tusihoji kuhusu Mungu, ni uendawazimu!Mmmh! naona tunaanza kuhoji uumbaji wa Mungu. tunaweza kuhoji baada ya kifo ni wapi. kama hatuamini kuhusu uumbaji, tujiulize huu ulimwengu ulikuwa wapi, kwa nini kuna ulimwengu, kwa nini tunaishi na mambo kadha wa kadha. Nadhani wakati mwingine tunapaswa kuyakubali mapokeo kwa sababu kama ambavyo hatujui imekuwaje ulimwengu ukawepo na baada ya kifo ni nini, basi tukubali kwamba Adam na Hawa ndio watu wa kwanza kuumbwa.
Kama huamin kwenye bible n kwel utakuwa hujafika level hyo ila kama una amin ktk bible pitia mwanzo 1:26-27, 1 wakorinto11:3Wacha kunisingizia wewe, Mimi sijafikia bado level ya u-mungu
Ndo maana mkuu unaposoma unatakiwa umuombe roho mtakatifu akutangulie la cvyo hautaele tasfiri.Kwa kifupi tu biblia ni jipu maana imejaa uongo na ubabaishaji ukihoji wanakuambia omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa hii imani ni uchuro tu Duniani ndio maana kila mtu anatumia biblia kuishi ki ujanja ujanja hata shoga anatumia biblia kuhalalisha ushoga wake hiki kitabu kipuuzwe.
wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!
Sijipingi mkuu imani yangu ina amini kwamba zama zakale palikua na watu wengi yaani wazungu wachina wa afrika yaani dunia ilijaa ikajitosheleza kabisa na ndani yake hao tunaowaita adam na hawa walikuepo pia ...na wote hawa walikua hawamjui mungu kabla ya mungu kuwafunulia uwepo wakeSasa mkuu mbona unajipinga mwenyewe?
Sijipingi mkuu imani yangu ina amini kwamba zama zakale palikua na watu wengi yaani wazungu wachina wa afrika yaani dunia ilijaa ikajitosheleza kabisa na ndani yake hao tunaowaita adam na hawa walikuepo pia ...na wote hawa walikua hawamjui mungu kabla ya mungu kuwafunulia uwepo wake
..
So baada ya muda aliwajaalia ufahamu adamu na baadae hawa katika kumfahamu na ndipo maandiko yalipo anzia hapo
Hata ukisoma maandiko utaona yanaelezea historia kuwa kulikua na watu zaidi ya adam hapoo kabla
Ndio maana na jenga hoja palikua na watu zaidi ya hawa na adamu kuliko tunavyotafsiri maandiko matakatifu
Ni wapi maandiko yanasema kulikuwa na watu zaidi ya Adam hapo zaman?