FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,472
- 1,828
Mie nitaendelea kulia na Akili zenu Waafrika Mna Akili Ila Akili Timamu bado Hazijakaa sawa
Waafrika tuwe na Akili timamu na Tuwe waamini wa Akili Timamu kweli kweli kupokea Mambo tu Kisa Yanakuja kwetu kutoka Nje tena Na Watu wenye Ndevu nyingi basi Ndio mnawaona Ni wa Kweli hamkai chini kufikiria Kwa Kina Mnajipotosha Sana Nyie
Kuna Baadhi ya Waafrika wanajinadi kabisa Mtume wetu alipewa Kitabu na Mungu na Wengine wapo wanasema Kuna Vitabu viliandikwa na Manabii mfano Vitabu vile Vitatu vya Kwenye Biblia vya Mwanzo. Wakati ukiangalia kwa Umakini na Kuchunguza na Kutumia Akili Timamu utagundua kwamba Vitabu vile si Vya hao Manabii bali ni Watu waliokuwa wanasimulia Kuhusu hao Manabii
Mfano mzuri
Isaya 1:1
Maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi, kuhusu Yuda na mji wa Yerusalemu, nyakati za utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Mfano wa Pili
Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kila utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja atalipa fidia kwa ajili ya nafsi yake mbele yangu ili pasiwe na maradhi mabaya miongoni mwao wakati wa kuhesabiwa.
Kutoka 30:11-12
Sasa usikurupuke, chunguza kwa makini Hayo maandiko si ya Isaya wala Musa ila ni Mtu mwingine anasimulia Kuhusu Isaya. Sasa jiulize kwa Makini wewe Mtu mwenye Akili timamu. Kama Uliambiwa Kitabu hiki ni cha Isaya au Cha Musa kwanini Asiandike mwenyewe hayo maneno kwamba Mimi Isaya au mimi Musa niliona Maono haya na Haya ila Anaandika Mtu mwingine kwamba Yeye ndio kayaona Maono ya Isaya. Hivi hiki kitu kinaingia Akilini kweli. Unawezaje kuona Maono ya Mwingine na Ukayaandika!?
Kwanini Musa Asiseme Mimi Musa Nikaambiwa Hivi na Mwenyezi Mungu ila Inaandikwa Musa akaambiwa na Mwenyezi Mungu. Yaani Ni Kama Walikuwa Watu watatu Musa.. MUNGU na. Mwandishi wa Habari
Tukiyaacha Hayo Kuna Baadhi ya Waafrika wana kazana sana kwamba Mtume wao ndio wa Mwisho baada ya Hao Mitume wengine Wa Mungu wao. Je kwa kuangalia kwa Makini Hivi Baba Wa Imani kulingana na Maandiko ya kwenye Vitabu ambaye ni Ibrahim hakuachiwa kitabu cha Muongozo ila Mtume Wao ndio kaachiwa hilo linaingia akili kweli
Mtu ambaye ndie aliyekuwa Baba Wa Imani Hana Kitabu ila Mtu wa Mwisho ndio ana Muongozo wa Kitabu. Manabii na Mitume wote waliotangulia Kabla yake hawana Muongozo ila Wa Mwisho ndio anamuongozo sasa Wale wa Kwanza Walikuwa wanafundishwa nini na Walikuwa wanawafundisha Nini Hao. Wafuasi wao!?
Ndugu zangu Tumevurugwa Akili vya Kutosha. Wazee wetu walivurugwa vya Kutosha na Si Kwamba Walikubali haya Mambo wengine walipata Mateso maana zilikuja Kipindi cha Mateso ya Ukoloni Hata wazee wa Nyerere kina Kambarage walikataa hizi Dini zilizoletwa hawakuzikubali kabisa Na walikufa Bila Kuzikubali hizi dini zilizokuja na Wakoloni. Siyo Baba zake na Babu zake Julius tu bali hata Wazee wako huko Nyuma Hawakuzikubali ila Kutokana Na Kwamba Wapo Chini ya Utawala wa Kibabe na Wakoloni waliamua Kukubali.
Turudi katika Matumizi ya Akili timamu na Tuchambue kila Kinachokuja Kwetu si kukipokea Tu bila Kiufikiria kwanza. Afrika imekuwa sehemu ya Dumpo Place maana Sisi kazi yetu hatuchambui kila Jambo tunapokea tu na Tunalipigia Mpaka Kampeni na Kulilinda Kabisa bila Hata Kujua Undani wake. Nyie hamna. cha Kwenu ndio maana hamjui mfanye nini au mfuate Nini ndio maana mnakubali lolote linalokuja kwenu.
ASANTENI
Waafrika tuwe na Akili timamu na Tuwe waamini wa Akili Timamu kweli kweli kupokea Mambo tu Kisa Yanakuja kwetu kutoka Nje tena Na Watu wenye Ndevu nyingi basi Ndio mnawaona Ni wa Kweli hamkai chini kufikiria Kwa Kina Mnajipotosha Sana Nyie
Kuna Baadhi ya Waafrika wanajinadi kabisa Mtume wetu alipewa Kitabu na Mungu na Wengine wapo wanasema Kuna Vitabu viliandikwa na Manabii mfano Vitabu vile Vitatu vya Kwenye Biblia vya Mwanzo. Wakati ukiangalia kwa Umakini na Kuchunguza na Kutumia Akili Timamu utagundua kwamba Vitabu vile si Vya hao Manabii bali ni Watu waliokuwa wanasimulia Kuhusu hao Manabii
Mfano mzuri
Isaya 1:1
Maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi, kuhusu Yuda na mji wa Yerusalemu, nyakati za utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Mfano wa Pili
Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Kila utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja atalipa fidia kwa ajili ya nafsi yake mbele yangu ili pasiwe na maradhi mabaya miongoni mwao wakati wa kuhesabiwa.
Kutoka 30:11-12
Sasa usikurupuke, chunguza kwa makini Hayo maandiko si ya Isaya wala Musa ila ni Mtu mwingine anasimulia Kuhusu Isaya. Sasa jiulize kwa Makini wewe Mtu mwenye Akili timamu. Kama Uliambiwa Kitabu hiki ni cha Isaya au Cha Musa kwanini Asiandike mwenyewe hayo maneno kwamba Mimi Isaya au mimi Musa niliona Maono haya na Haya ila Anaandika Mtu mwingine kwamba Yeye ndio kayaona Maono ya Isaya. Hivi hiki kitu kinaingia Akilini kweli. Unawezaje kuona Maono ya Mwingine na Ukayaandika!?
Kwanini Musa Asiseme Mimi Musa Nikaambiwa Hivi na Mwenyezi Mungu ila Inaandikwa Musa akaambiwa na Mwenyezi Mungu. Yaani Ni Kama Walikuwa Watu watatu Musa.. MUNGU na. Mwandishi wa Habari
Tukiyaacha Hayo Kuna Baadhi ya Waafrika wana kazana sana kwamba Mtume wao ndio wa Mwisho baada ya Hao Mitume wengine Wa Mungu wao. Je kwa kuangalia kwa Makini Hivi Baba Wa Imani kulingana na Maandiko ya kwenye Vitabu ambaye ni Ibrahim hakuachiwa kitabu cha Muongozo ila Mtume Wao ndio kaachiwa hilo linaingia akili kweli
Mtu ambaye ndie aliyekuwa Baba Wa Imani Hana Kitabu ila Mtu wa Mwisho ndio ana Muongozo wa Kitabu. Manabii na Mitume wote waliotangulia Kabla yake hawana Muongozo ila Wa Mwisho ndio anamuongozo sasa Wale wa Kwanza Walikuwa wanafundishwa nini na Walikuwa wanawafundisha Nini Hao. Wafuasi wao!?
Ndugu zangu Tumevurugwa Akili vya Kutosha. Wazee wetu walivurugwa vya Kutosha na Si Kwamba Walikubali haya Mambo wengine walipata Mateso maana zilikuja Kipindi cha Mateso ya Ukoloni Hata wazee wa Nyerere kina Kambarage walikataa hizi Dini zilizoletwa hawakuzikubali kabisa Na walikufa Bila Kuzikubali hizi dini zilizokuja na Wakoloni. Siyo Baba zake na Babu zake Julius tu bali hata Wazee wako huko Nyuma Hawakuzikubali ila Kutokana Na Kwamba Wapo Chini ya Utawala wa Kibabe na Wakoloni waliamua Kukubali.
Turudi katika Matumizi ya Akili timamu na Tuchambue kila Kinachokuja Kwetu si kukipokea Tu bila Kiufikiria kwanza. Afrika imekuwa sehemu ya Dumpo Place maana Sisi kazi yetu hatuchambui kila Jambo tunapokea tu na Tunalipigia Mpaka Kampeni na Kulilinda Kabisa bila Hata Kujua Undani wake. Nyie hamna. cha Kwenu ndio maana hamjui mfanye nini au mfuate Nini ndio maana mnakubali lolote linalokuja kwenu.
ASANTENI