kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Ndugu wa JF ningependa kupata taarifa kama kuna hatua yeyote aliyochukuliwa Bw. Adam Malima kwani nikinukuu kupitia kipindi cha Tuongee Asubuhi kilichorushwa na STAR TV mwezi uliopita SMG hairuhusiwi kumilikiwa na raia na hairuhusiwi kuuzwa katika maduka ya Siraha mtu anayeruhusiwa kumiliki uraiani na Kanal wa jeshi mstaafu tu.
Ningependa kupata taarifa kutoka jeshi la police kwa wanaojua sheria hizo kwa ufafanuzi kama sio vinginevyo jeshi la police litakuwa halijatenda haki kwa watanzania kwa kumuachia Mtuumiwa bwana Adam Malima kwa kumiliki Siraha kinyume cha sheria za Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Nawasilisha!
Ningependa kupata taarifa kutoka jeshi la police kwa wanaojua sheria hizo kwa ufafanuzi kama sio vinginevyo jeshi la police litakuwa halijatenda haki kwa watanzania kwa kumuachia Mtuumiwa bwana Adam Malima kwa kumiliki Siraha kinyume cha sheria za Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Nawasilisha!