Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Kwa hali ilivyo iko complex sana, nani wa kumfunga paka kengele sasa, TAKUKURU na wengine wanaishia kukimbizana na bahasha ili hali wanajua michezo inavyochezwa. Nashangaa watu wana guts za kusimama na kutoa tuhuma. Tuhuma tu?