Adaiwa kukamatwa kwa kuweka picha za "kudhalilisha" jimbo la Ndugai mtandaoni

Sijaelewa mpaka sasa sababu ya huyu muandishi kushikiliwa na polisi,kwa kosa gani? Mbona mnaleta chuki zisizo na umuhimu kwenye jamii?tunakuwa kama binadamu tutakaoishi milele?
 
Ndugai hataki picha za mazingira ya Kongwa zisambae ili watu wasaidie watanzania wenzao kupunguza Hizi shida ? au anataka wananchi wake wawe tu ndani ya BOX milele ?
 
Ndu,gay kazi aliyo nayo Kwa sasa ni kupora Wapinzani ubunge , hayo matatizo ya Jimboni kwake kongwa kila mtu apambane Na Hali yake !!

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Watoto wapo kwenye ukumbi mdogo kwa ajili ya kupewa matangazo ya kufunga shule nyiye mnasema ati wapo darasani. Hapo ni wapi umeona mumko mkubwa hivi wa elimu Dodoma?? Lete habari ingine hii ni chai.
 
wapinzani zaidi ya kupost picha mitandaoni hakuna wanaloliweza..
 
Tumuombee kwa mwenyezi mungu atatenda maajabu yake
TAARIFA

Baada ya kusambaa picha zimionyesha vyoo chakavu na madarasa yenye msongamano wa wanafunzi kamanda wetu Farance The Digitall alipata vitisho kutoka kwa Mbunge wa Kongwa Job Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kuwa "anachokitafuta atakipata hivi karibuni kwasababu amekuwa akimwaandama kuanzia asubuhi hadi jioni".

Baadae mji wa Kibaigwa zilisambaa taarifa za France The Digital kutafutwa hivyo alihama nyumbani kwa sababu za usalama wake,akiwa mafichoni alipata taarifa za nyumba yake kuvamiwa na askari polisi wa Kongwa wakimtafuta bila mafanikio.....baadae walipigia simu ya wito wa kuripoti kituo cha polisi Kongwa jambo ambalo amelitekeleza leo J4.

Baada ya maohojiano kituo cha polisi kongwa wamemweleza kamanda France The Digital kuwa kosa lake ni kumkashifu Mh Job Ndugai hivyo wanamwamishia Mkoani Dodoma kwa RCO kwaajili ya mahojiano zaidi na wamemwambia hakuna dhamana.

Hivyo makamanda tuendelee kupaza sauti dhidi ya kamanda mwenzetu huyu wa Kibaigwa ili haki iweze kutendeka.

View attachment 1049128View attachment 1049129View attachment 1049130

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Back
Top Bottom