Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Tunanunua ndege kwa cash!
'.....Tembeeni vifua mbere nchi iko kwenye ze laiti traka..''Jiwe, 2018. Lakini ukiangalia uhalisia wa maisha unakuta watoto shule wanakaa chini au kukalia mawe/vigoda, walimu hakuna,madarasa hayatoshi,hakuna vyoo wala maktaba.
Watz inabidi tufikie hatua ya wenzetu wa SUDAN Kaskazini na ALGERIA ambao wameamua kuandamana kupinga UTAWALA WA KUDUMU WA Madikteta AL-BASHIR(miaka 30) na BOUTEFLIKA( miaka 20).
Utawala wa CCM leo uko madarakani kwa zaidi ya miaka 50 na nchi bado inapiga marktime Kiuchumi pamoja na Utajiri wa Raslimali za Asili ambao Mwenyezi Mungu alizoijalia Tanzania. Something must be done otherwize Mitanzania tunaonekana mindondocha isiyojitambua.