Adaiwa kukamatwa kwa kuweka picha za "kudhalilisha" jimbo la Ndugai mtandaoni

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
24,504
28,691
TAARIFA

Baada ya kusambaa picha zimionyesha vyoo chakavu na madarasa yenye msongamano wa wanafunzi kamanda wetu Farance The Digitall alipata vitisho kutoka kwa Mbunge wa Kongwa Job Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kuwa "anachokitafuta atakipata hivi karibuni kwasababu amekuwa akimwaandama kuanzia asubuhi hadi jioni".

Baadae mji wa Kibaigwa zilisambaa taarifa za France The Digital kutafutwa hivyo alihama nyumbani kwa sababu za usalama wake,akiwa mafichoni alipata taarifa za nyumba yake kuvamiwa na askari polisi wa Kongwa wakimtafuta bila mafanikio.....baadae walipigia simu ya wito wa kuripoti kituo cha polisi Kongwa jambo ambalo amelitekeleza leo J4.

Baada ya maohojiano kituo cha polisi kongwa wamemweleza kamanda France The Digital kuwa kosa lake ni kumkashifu Mh Job Ndugai hivyo wanamwamishia Mkoani Dodoma kwa RCO kwaajili ya mahojiano zaidi na wamemwambia hakuna dhamana.

Hivyo makamanda tuendelee kupaza sauti dhidi ya kamanda mwenzetu huyu wa Kibaigwa ili haki iweze kutendeka.

FB_IMG_1553000991903.jpeg
FB_IMG_1553000996223.jpeg
FB_IMG_1553000999425.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAARIFA

Baada ya kusambaa picha zimionyesha vyoo chakavu na madarasa yenye msongamano wa wanafunzi kamanda wetu Farance The Digital alipata vitisho kutoka kwa Mbunge wa Kongwa Job Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kuwa "anachokitafuta atakipata hivi karibuni kwasababu amekuwa akimwaandama kuanzia asubuhi hadi jioni".

Baadae mji wa #Kibaigwa zilisambaa taarifa za France The Digital kutafutwa hivyo alihama nyumbani kwa sababu za usalama wake,akiwa mafichoni alipata taarifa za nyumba yake kuvamiwa na askari polisi wa #Kongwa wakimtafuta bila mafanikio.....baadae walipigia simu ya wito wa kuripoti kituo cha polisi Kongwa jambo ambalo amelitekeleza leo J4.

Baada ya maohojiano kituo cha polisi kongwa wamemweleza kamanda France The Digital kuwa kosa lake ni kumkashifu Mh Job Ndugai hivyo wanamwamishia Mkoani Dodoma kwa RCO kwaajili ya mahojiano zaidi na wamemwambia hakuna dhamana.

Hivyo makamanda tuendelee kupaza sauti dhidi ya kamanda mwenzetu huyu wa Kibaigwa ili haki iweze kutendeka.

Tusambaze kwenye magroup na zile picha za vyuo na shule ya Karume jimboni Kongwa.

Na Peter Chagga Jr.
FB_IMG_1553003704540.jpg
FB_IMG_1553003709700.jpg
FB_IMG_1553003698561.jpg
 
dah inasikitisha kweli.. Huwezi kuumaliza umasikini Tanzania huku CCM ikitawala au ikiwepo.

Binafsi nikipata mamlaka nitaifuta CCM na kuipiga marufuku kabisa na baadhi ya Majengo yake yatakuwa nyumba za ibada huku Jengo la Lumumba na Chimaga dodoma nitazifanya kuwa nyumba za makumbusho na alama ya ubaya uliotendwa kwa jamii ulipoanzia.
 
Huu mfumo wa kuwasweka ndani waandishi wa habari si suluhisho la matatizo.
Kinacho hitajika ni kutatua kero zilizopo na si kuwanyamazisha.

Kule Arusha kuna mwandishi aliwekwa ndani kwa amri ja mkuu wa mkoa akidaiwa kupotosha waru wakati ni kweli kulikuwepo na tatizo la watu kuumwa matumbo kwa ajili ya kutumia maji yaliyo chafuliwa (Maji ya idara ya maji yaliunganishwa na maji taka)
 
TAARIFA

Baada ya kusambaa picha zimionyesha vyoo chakavu na madarasa yenye msongamano wa wanafunzi kamanda wetu Farance The Digital alipata vitisho kutoka kwa Mbunge wa Kongwa Job Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kuwa "anachokitafuta atakipata hivi karibuni kwasababu amekuwa akimwaandama kuanzia asubuhi hadi jioni".

Baadae mji wa #Kibaigwa zilisambaa taarifa za France The Digital kutafutwa hivyo alihama nyumbani kwa sababu za usalama wake,akiwa mafichoni alipata taarifa za nyumba yake kuvamiwa na askari polisi wa #Kongwa wakimtafuta bila mafanikio.....baadae walipigia simu ya wito wa kuripoti kituo cha polisi Kongwa jambo ambalo amelitekeleza leo J4.

Baada ya maohojiano kituo cha polisi kongwa wamemweleza kamanda France The Digital kuwa kosa lake ni kumkashifu Mh Job Ndugai hivyo wanamwamishia Mkoani Dodoma kwa RCO kwaajili ya mahojiano zaidi na wamemwambia hakuna dhamana.

Hivyo makamanda tuendelee kupaza sauti dhidi ya kamanda mwenzetu huyu wa Kibaigwa ili haki iweze kutendeka.

Tusambaze kwenye magroup na zile picha za vyuo na shule ya Karume jimboni Kongwa.

Na Peter Chagga Jr.View attachment 1049158View attachment 1049159View attachment 1049160
Bwana jobu alitakiwa kujibu kilichoripotiwa ni kweli au uongo?
Nakumbuka hata mwandishi mwingine kukamatwa kisa aliripoti mambo haya kwenye jimbo la aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani aliyefukuzwa!
 
TAARIFA

Baada ya kusambaa picha zimionyesha vyoo chakavu na madarasa yenye msongamano wa wanafunzi kamanda wetu Farance The Digital alipata vitisho kutoka kwa Mbunge wa Kongwa Job Ndugai ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania kuwa "anachokitafuta atakipata hivi karibuni kwasababu amekuwa akimwaandama kuanzia asubuhi hadi jioni".

Baadae mji wa #Kibaigwa zilisambaa taarifa za France The Digital kutafutwa hivyo alihama nyumbani kwa sababu za usalama wake,akiwa mafichoni alipata taarifa za nyumba yake kuvamiwa na askari polisi wa #Kongwa wakimtafuta bila mafanikio.....baadae walipigia simu ya wito wa kuripoti kituo cha polisi Kongwa jambo ambalo amelitekeleza leo J4.

Baada ya maohojiano kituo cha polisi kongwa wamemweleza kamanda France The Digital kuwa kosa lake ni kumkashifu Mh Job Ndugai hivyo wanamwamishia Mkoani Dodoma kwa RCO kwaajili ya mahojiano zaidi na wamemwambia hakuna dhamana.

Hivyo makamanda tuendelee kupaza sauti dhidi ya kamanda mwenzetu huyu wa Kibaigwa ili haki iweze kutendeka.

Tusambaze kwenye magroup na zile picha za vyuo na shule ya Karume jimboni Kongwa.

Na Peter Chagga Jr.
FB_IMG_1553007473026.jpeg
FB_IMG_1553007475755.jpeg
FB_IMG_1553007478264.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom