Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Wana jamvi nimekuja huku kwa vile najua kuna ma-nguli katika fani ya mapenzi na nawaombeni msaada wa maarifa katika kumsaidia jamaa yangu.
Huyu ni sahiba yangu wa tokea udogoni ambaye ni kijana smart na amefanikiwa kimaisha kwa kiasi fulani, jamaa ni mchapakazi, anamiliki biashara yake ambayo inaenda safi tu, amefanikiwa kuoa na kuiendesha familia yake ya mke na watoto wawili bila matatizo.....
Ila huyu jamaa yangu ana tatizo sugu la kupenda totoz, binafsi nilimuweka kitako kabla hata ya kufunga ndoa aache hii tabia ila kila mtu na kilema chake, nilishamuokoa mara kadhaa kwenye mizengwe ya mabinti na kubembeleza msamaha kwa shem.
Shemeji ameshazoea usemi kama " Yule manzi ni ex wa Kweli" " ni mteja wangu yule" nk.
Tuna usemi "ujanja mwingi mbele giza" na leo siku ya 4 kiza kinene kimetanda kwa sahiba,tukio lilikuwa hivi:
Sahiba aliondoka nyumbani asubuhi na haraka huku nyuma alisahau simu yake kwenye chaji, shemeji aliskia ujumbe ukiingia na kuamua aipigizie, pengine masuala ya biashara ili amshtue Mzee, ujumbe ulisema:
Hi sweatheart, No g'morning 2day why? still tired 4rom last night huh? talkin 'bout lasnite thanx 4 the f**k! mindblowing!!loved the blowjob, Talk 2 U l8r xxx J" Namba imeseviwa kwa jina la Joshua ila huyu hakuwa Joshua bali ni Joanna.
Baada ya kumaliza kusoma ujumbe shem kaondoka nyumbani na simu kaondoka nayo ushahidi, sahiba kabaki jumba limemuinamia na pirika za kuwapeleka/kuwachukua watoto shule.
Nimemfuata shem ila safari hii hataki kuniamini kabisa amenionesha tu text message na kuniambia "iweje naishi miaka yote hii nikidhani nina mume kumbe jamaa Shoga?" mbele ya baba yake mzazi, Zee la watu liliniangalia kwa jicho la hasira na kuniomba niondoke.
Jee itumike busara gani hapa kubainisha ukweli?
Huyu ni sahiba yangu wa tokea udogoni ambaye ni kijana smart na amefanikiwa kimaisha kwa kiasi fulani, jamaa ni mchapakazi, anamiliki biashara yake ambayo inaenda safi tu, amefanikiwa kuoa na kuiendesha familia yake ya mke na watoto wawili bila matatizo.....
Ila huyu jamaa yangu ana tatizo sugu la kupenda totoz, binafsi nilimuweka kitako kabla hata ya kufunga ndoa aache hii tabia ila kila mtu na kilema chake, nilishamuokoa mara kadhaa kwenye mizengwe ya mabinti na kubembeleza msamaha kwa shem.
Shemeji ameshazoea usemi kama " Yule manzi ni ex wa Kweli" " ni mteja wangu yule" nk.
Tuna usemi "ujanja mwingi mbele giza" na leo siku ya 4 kiza kinene kimetanda kwa sahiba,tukio lilikuwa hivi:
Sahiba aliondoka nyumbani asubuhi na haraka huku nyuma alisahau simu yake kwenye chaji, shemeji aliskia ujumbe ukiingia na kuamua aipigizie, pengine masuala ya biashara ili amshtue Mzee, ujumbe ulisema:
Hi sweatheart, No g'morning 2day why? still tired 4rom last night huh? talkin 'bout lasnite thanx 4 the f**k! mindblowing!!loved the blowjob, Talk 2 U l8r xxx J" Namba imeseviwa kwa jina la Joshua ila huyu hakuwa Joshua bali ni Joanna.
Baada ya kumaliza kusoma ujumbe shem kaondoka nyumbani na simu kaondoka nayo ushahidi, sahiba kabaki jumba limemuinamia na pirika za kuwapeleka/kuwachukua watoto shule.
Nimemfuata shem ila safari hii hataki kuniamini kabisa amenionesha tu text message na kuniambia "iweje naishi miaka yote hii nikidhani nina mume kumbe jamaa Shoga?" mbele ya baba yake mzazi, Zee la watu liliniangalia kwa jicho la hasira na kuniomba niondoke.
Jee itumike busara gani hapa kubainisha ukweli?