Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,335
- 17,839
Mwanamchi 03/09/11,
Kijana Emanuel Didas Marshai (24), ambaye madaktari walikosea na kumfanyia upasuaji wa kichwa badala ya mguu wa kulia, anakamilisha mchakato wa kuishtaki Serikali na kuidai fidia ya Shilingi milioni 800.
Kwa sasa mgonjwa huyo ambaye alifanyiwa upasuaji huo Novemba Mosi, 2008 na madaktari bingwa wa Kitengo cha Mifupa (MOI) cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, amepooza upande wa kulia wa mwili wake.
Wakili wake, Cornelius Kariwa alisema jana kwamba mchakato huo umeanza ikiwa ni pamoja na kuwasilisha maombi mahakamani ili ateuliwe mtu atakayesimamia haki zake kisheria,*Tunachofanya sasa ni kufungua maombi ili tupate power of attorney (nguvu ya kisheria) ya mtu atakayesimamia haki zake kwa sababu kwa sasa haongei na hana uamuzi, alisema.
Kijana Emanuel Didas Marshai (24), ambaye madaktari walikosea na kumfanyia upasuaji wa kichwa badala ya mguu wa kulia, anakamilisha mchakato wa kuishtaki Serikali na kuidai fidia ya Shilingi milioni 800.
Kwa sasa mgonjwa huyo ambaye alifanyiwa upasuaji huo Novemba Mosi, 2008 na madaktari bingwa wa Kitengo cha Mifupa (MOI) cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, amepooza upande wa kulia wa mwili wake.
Wakili wake, Cornelius Kariwa alisema jana kwamba mchakato huo umeanza ikiwa ni pamoja na kuwasilisha maombi mahakamani ili ateuliwe mtu atakayesimamia haki zake kisheria,*Tunachofanya sasa ni kufungua maombi ili tupate power of attorney (nguvu ya kisheria) ya mtu atakayesimamia haki zake kwa sababu kwa sasa haongei na hana uamuzi, alisema.