Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,743
mhn! hii kali inamaana turekebishe ramani za nyumba zetu ziwe kama bar! kuwe na choo cha kike na kiume?Ni kweli kitu hicho kinawezekana kabisa, mbegu za kiume zina nguvu ya ajabu sana zina uwezo wa kuishi siku mbili mpaka tatu zikishatoka kwa mwanaume, na mwanamke sio lazima kufanya tendo la ndoa ndio mimba itunge, siku zikiwa ni za kupata minda mbegu za kiume zikigusa na kufanikiwa kupata njia ya kufika kwanye uke anapata mimba, imeshatokea mwanamke alijifutia taulo liliokuwa na mbegu akapata mimba, na kuna binti hapa bongo alipata tena ilikuwa nyumbani kwao kwenye choo cha kukaa kumbe wavulanda ndani ya nyumba walikuwa wanajichua wakienda kujisaidia siku ya siku wakabakisha mbegu juu mdada alipokwenda kujisaidia akazibeba ikawa mtafaluku ndani ya nyumba wakati binti alikuwa bikira. kwahiyo amini inawezekana