kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 937
Si anadai kuwa na mtoto? na aliwahi kuwa na mke kabla, hao watasaidia katika ushahidi, aidha huko kwa dokta labda ataambiwa apige ngunga...
Akome kwa nini alimuacha aliyempa unyuma na kumzalia?