Uchaguzi 2020 Adadi Rajabu na Andrew Chenge, wasomi wabobezi waliokatwa na kuinamisha vichwa. Usomi ni ukondoo?

Soma hii:

Lumpenproletariat at Dictionary.com
Lumpenproletariat definition, the lowest level of the proletariat comprising unskilled workers, vagrants, and criminals and characterized by a lack ......

lumpenproletariat
/ (ˌlʌmpənˌprəʊlɪˈtɛərɪət) /
noun
(esp in Marxist theory) the amorphous urban social group below the proletariat, consisting of criminals, tramps, etc


Aina hii kwenye uongozi haijawahi kuwavusha yeyote yule
 
Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.

Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?

Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?

Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Acheni unafiki hivi leo kweli CHENGE Mzee wa vijisenti amekuwa nzuri kwa Upinzani¡¡¡
Fisadi papa aliyelalamikiwa na Upinzani leo amekuwa mwema
Unaonekana Opposition hakuna mnachokisimamia au kuamini. Nimemuona hata Zito akisema ati Bunge litamkosa mtu muhimu
Kweli kushabikia siasa bongo ni kaxi sana
 
Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.

Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?

Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?

Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Wasomi wengi wa taifa hili ni mafisadi hivyo lazima ajifiche CCM akiinua kichwa tu uhujumu uchumi unamhusu?
 
Hoja siyo kuiwakilisha. Hoja hapa ni nani amekatiza hamu na nia ya hawa wasomi kuwawakilisha wananchi? Kwann kilaza mwenye phD feki aamue hatma yao?
Sasa si muwachukue waisadie chadema ya form six alie feli?
 
Kwa hiyo wewe ulitaka miaka yote waongoze wao tu?Kwani hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza?Katika miaka hiyo yote waliyoongoza walifanya kitu gani cha maana?Kwani maisha ni kuwa mbunge tu?wakazitumie elimu zao mtaani kuonesha utofauti na watu wasio na elimu.
Si ndio maana pale chadema Mbowe ndio kila kitu hushangai mkuu?

Yani mleta mada akisikia Mbowe anataka kutolewa anaweza kufa!

Ccm inawatu rundo wanahitaji kuongoza siyo hao kina chenge tu.

Alafu usomi wa chenge umesaidia nini taifa zaidi ya kutuingiza kwenye matatizo ya ufisadi ya kila dili chenge yumo?

Hawa watu wa chadema ya Lisu leo wanampenda Chenge? Hadi Zitto kabwe?

Upinzani gani wa kipumbavu namna hii?
 
Acheni unafiki hivi leo kweli CHENGE Mzee wa vijisenti amekuwa nzuri kwa Upinzani¡¡¡
Fisadi papa aliyelalamikiwa na Upinzani leo amekuwa mwema
Unaonekana Opposition hakuna mnachokisimamia au kuamini. Nimemuona hata Zito akisema ati Bunge litamkosa mtu muhimu
Kweli kushabikia siasa bongo ni kaxi sana
Mkuu hiyo ndio chadema ya Lisu na Mbowe!

Slaa atakuwa akiwa soma watu aina ya mleta mada alafu nao wako chadema atakuwa anaumia sana
 
Mkuu Naomba Niliangalie Kwa Jicho Hili;

< Mzee Wetu Andrew Chenge.:Amehudumu Kwa Muda Mrefu Na Kujizolea Sifa Kedekede Kisheria.Amekaa Bungeni Kwa Miongo 3 Sasa.....Kwa Kipindi chote hicho nadhani Inatosha APUMZIKE Kwani Tumeona Mzee Wassira,pamoja na kuwepo katika BARAZA LA MAWAZIRI LA BABA WA TAIFA,mwaka huu bado alijitokeza KUOMBA NIA NA KURA KUTOTOSHA.

< Dr.Adadi Rajab,Amehudumu Kama mwanasheria wa Polisi then DCI halafu kuwa BALOZI na Mbunge,huyu hajakaa Siasani kwa muda mrefu Kama Alivyokaa Mzee Chenge ila ninadhani CCM wametaka AMSHAAMSHA Jimboni Muheza Kwani Mkoa Wa Tanga Kwa Muda Mrefu Ni Ngome Ya CCM ila Hali inaanza kubadilika kidogokidogo kwa kule kuonekana KIZAZI KIPYA kinaanza kuvutika na CHADEMA NA ACT WAZALENDO.

Na Dr Adadi Ni mwanasiasa Mpole,Mtulivu na Smart Ila Hana KIPAWA CHA PURUKUSHANI MAJUKWAANI.CCM imetaka DAMU YENYE KUCHANGAMKA Kupambana na wapinzani Moto.

All and All HAKUNA wa kubishia INTELLECTUAL potentials na credentials walizonazo mh.Chenge na mh.Dr.Adadi.Ninawaona kuFIT Sana kwenye nafasi za kutuwakilisha KIDIPLOMASIA na hata kuwa THINK TANKERS wafundishe vyuo Vikuu,kitu wasichopenda wanasiasa wengi wastaafu wenye ELIMU zao.
Sa nyingine ukiwa humu GT unaandika Kama mtu conscious ila Kuna muda unaandika utopolo kama unaoandika kule Facebook kwa mataga wenzio
 
Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.

Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?

Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?

Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Mfano upi huo wakuigwa kutoka kwa chenge? Au ni ule wa kuiba billions of money from NBC bank..nenda kalake huko..hujui kitu wewe..
 
Agneta ushawahi kusikia ni mwanasheria mkuu wa serikali ama mkuu wa upelelezi Tanzania nzima? Chenge na Adadi nawashangaa Sana. Wanamuogopa huyu mwenye PhD ya kupewa na akina Dr. Akwilapo?
Aise, kwahiyo unasema ilikuwa ni sahihi kwa huyo binti kukatwa na kulipitisha dume zima alilolishinda kwenye kura za maoni eti kisa siyo msomi. Huu ni unyanyasaji wa kijinsia, na kinyume na Demokrasia mnayoipigania, kiufupi nyinyi mkishika Dora mnaweza kuwa wa ovyo kuliko hata waliopo kwa sababu mna upumbavu Sana wa kuhalalisha vitu vya hovyo. Mlichofanya segerea hakina tofauti hicho ulichoandika!
 
Hivi wagombea wa CCM wanawahusu nini? Si ndo vizuri walivyokatwa ili mtumie mwanya huo mkashinde kwenye majimbo yao.
Unapopigania haki, huangalii ya kwako tu, bali na za wengine pia, manake kesho wewe utakuwa hapo alipo!!
 
Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.

Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?

Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu? Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Kukaa kimya pia ni hekima. Ni watu wasio na elimu ndio huamsha vita wasioweza kuishinda.
 
Huyo chenge nikipi alichofanya toka 2005?Ndoto gani alizokatizwa juu ya hili taifa?
Vitu vingine ni vya kutafakari kabla ya kuleta ushabiki.kuna mambo mengine hayataki uchama bana.
 
Chenge ,atulie tu ,madharau yake tuone Sasa,na ajue uongozi ni mapito tena akae mbali kabisa
 
Waliokatwa waliambiwa lazima kuwaigia kampeni walioteuliwa, je Chenge na Adadi nao wanawapigia kampeni mahasimu wao?!

Nasikia waliambiwa watulie mavyeo ni mengi tu.

Adadi alikuwa balozi sijui atapewa nini ukuu wa mkoa, wilaya au ukurugenzi wa halmashauri?!

Change apewe nini ubalozi au ukuu wa mkoa?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom