Kazi zipo nyingi ccm,halafu sio lazima wawe wabunge,Ni chama kinajua kwa Nini kimewakata kwa vigezo walivyojiwekeaKama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?
Acheni unafiki hivi leo kweli CHENGE Mzee wa vijisenti amekuwa nzuri kwa Upinzani¡¡¡Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.
Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?
Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?
Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Wasomi wengi wa taifa hili ni mafisadi hivyo lazima ajifiche CCM akiinua kichwa tu uhujumu uchumi unamhusu?Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.
Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?
Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?
Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Sasa si muwachukue waisadie chadema ya form six alie feli?Hoja siyo kuiwakilisha. Hoja hapa ni nani amekatiza hamu na nia ya hawa wasomi kuwawakilisha wananchi? Kwann kilaza mwenye phD feki aamue hatma yao?
Si ndio maana pale chadema Mbowe ndio kila kitu hushangai mkuu?Kwa hiyo wewe ulitaka miaka yote waongoze wao tu?Kwani hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza?Katika miaka hiyo yote waliyoongoza walifanya kitu gani cha maana?Kwani maisha ni kuwa mbunge tu?wakazitumie elimu zao mtaani kuonesha utofauti na watu wasio na elimu.
Mkuu hiyo ndio chadema ya Lisu na Mbowe!Acheni unafiki hivi leo kweli CHENGE Mzee wa vijisenti amekuwa nzuri kwa Upinzani¡¡¡
Fisadi papa aliyelalamikiwa na Upinzani leo amekuwa mwema
Unaonekana Opposition hakuna mnachokisimamia au kuamini. Nimemuona hata Zito akisema ati Bunge litamkosa mtu muhimu
Kweli kushabikia siasa bongo ni kaxi sana
Sa nyingine ukiwa humu GT unaandika Kama mtu conscious ila Kuna muda unaandika utopolo kama unaoandika kule Facebook kwa mataga wenzioMkuu Naomba Niliangalie Kwa Jicho Hili;
< Mzee Wetu Andrew Chenge.:Amehudumu Kwa Muda Mrefu Na Kujizolea Sifa Kedekede Kisheria.Amekaa Bungeni Kwa Miongo 3 Sasa.....Kwa Kipindi chote hicho nadhani Inatosha APUMZIKE Kwani Tumeona Mzee Wassira,pamoja na kuwepo katika BARAZA LA MAWAZIRI LA BABA WA TAIFA,mwaka huu bado alijitokeza KUOMBA NIA NA KURA KUTOTOSHA.
< Dr.Adadi Rajab,Amehudumu Kama mwanasheria wa Polisi then DCI halafu kuwa BALOZI na Mbunge,huyu hajakaa Siasani kwa muda mrefu Kama Alivyokaa Mzee Chenge ila ninadhani CCM wametaka AMSHAAMSHA Jimboni Muheza Kwani Mkoa Wa Tanga Kwa Muda Mrefu Ni Ngome Ya CCM ila Hali inaanza kubadilika kidogokidogo kwa kule kuonekana KIZAZI KIPYA kinaanza kuvutika na CHADEMA NA ACT WAZALENDO.
Na Dr Adadi Ni mwanasiasa Mpole,Mtulivu na Smart Ila Hana KIPAWA CHA PURUKUSHANI MAJUKWAANI.CCM imetaka DAMU YENYE KUCHANGAMKA Kupambana na wapinzani Moto.
All and All HAKUNA wa kubishia INTELLECTUAL potentials na credentials walizonazo mh.Chenge na mh.Dr.Adadi.Ninawaona kuFIT Sana kwenye nafasi za kutuwakilisha KIDIPLOMASIA na hata kuwa THINK TANKERS wafundishe vyuo Vikuu,kitu wasichopenda wanasiasa wengi wastaafu wenye ELIMU zao.
Mfano upi huo wakuigwa kutoka kwa chenge? Au ni ule wa kuiba billions of money from NBC bank..nenda kalake huko..hujui kitu wewe..Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.
Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?
Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu?
Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
Aise, kwahiyo unasema ilikuwa ni sahihi kwa huyo binti kukatwa na kulipitisha dume zima alilolishinda kwenye kura za maoni eti kisa siyo msomi. Huu ni unyanyasaji wa kijinsia, na kinyume na Demokrasia mnayoipigania, kiufupi nyinyi mkishika Dora mnaweza kuwa wa ovyo kuliko hata waliopo kwa sababu mna upumbavu Sana wa kuhalalisha vitu vya hovyo. Mlichofanya segerea hakina tofauti hicho ulichoandika!Agneta ushawahi kusikia ni mwanasheria mkuu wa serikali ama mkuu wa upelelezi Tanzania nzima? Chenge na Adadi nawashangaa Sana. Wanamuogopa huyu mwenye PhD ya kupewa na akina Dr. Akwilapo?
Unapopigania haki, huangalii ya kwako tu, bali na za wengine pia, manake kesho wewe utakuwa hapo alipo!!Hivi wagombea wa CCM wanawahusu nini? Si ndo vizuri walivyokatwa ili mtumie mwanya huo mkashinde kwenye majimbo yao.
Kukaa kimya pia ni hekima. Ni watu wasio na elimu ndio huamsha vita wasioweza kuishinda.Adadi Rajabu na Andrew Chenge ni watu wasomi wa kupigiwa mfano na walishika nafasi nyeti sana nchi hii. Kiu yao ya kuendelea kuitumikia nchi hii imekatizwa na kikundi kidogo tu cha watu tena na darasa la saba au wenye vyeti vya kuungaunga. Inauma sana.
Hivi kweli hawa wenye vyeti vinavyotiliwa mashaka wanafika mahali wanawanyanyasa wasomi wenye vyeti vya kupigiwa mfano? Kama taifa tunadhani hili ni sawa?
Kama wasomi hawa wamekatwa na kuufyata nani basi atakuja kuupinga uonevu huu? Kwanini wasomi katika taifa hili wanakuwa na ukondoo badala ya kutumia elimu yao kuinua vichwa na kudai haki?
😀😀Sa nyingine ukiwa humu GT unaandika Kama mtu conscious ila Kuna muda unaandika utopolo kama unaoandika kule Facebook kwa mataga wenzio
Lkn Magufuli kamuonea. Ilitakiwa akataliwe na wananchi siyo mwenyekiti Magufuli.Chenge ,atulie tu ,madharau yake tuone Sasa,na ajue uongozi ni mapito tena akae mbali kabisa