Sucre255
Member
- Jul 29, 2016
- 25
- 31
Leo nacte wametoa tangazo la ku confirm kwa wanafunzi waliochaguliwa vyuo. Sasa nmeona ada wameandika 900000 kwa chuo cha M.U.S.T na 850000 kwa chuo cha ARUSHA TECHNICAL COLLEGE wakati hao waliochaguliwa ni government sponser sio private ... Sijaelewa hapo. Government sponsor kwa kawaida wanalipa kwenye laki tatu hivi ukichanganya na michango mengine. Naomba kueleweshwa hapo