Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,475
- 30,489
Ungetaja tu hayo malengo mengine ya wanaopush agenda ya katiba ingetosha badala ya kuzungukazunguka.Sijakimbia nimeamua kutolijibu swali lako,ktk taasis yoyote kubwa km cdm kuna malengo ambayo yanajadiliwa kwenye vikao tu vya waandamiz lkn pia kuna malengo ambayo huwa yanatolewa nje km malengo ya taasis.
Tunapotezeana muda kujadili mambo mengine ya msingi