MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe leo anatarajiwa kumpokea Mbunge Moses Machali ktk Chama cha ACT-WAZALENDO. Machali anapokelewa na Wanachama wapya kutoka NCCR-MAGEUZI wanachama 798 na Viongozi wote wa Kata wa Jimbo la Kasulu Mjini.Machali anapokelewa na Kiongozi wa ACT-WAZALENDO Zitto Kabwe ktk Mkutano wa Hadhara unafanyika Viwanja vya Kiganamo leo.
Tutawaletea kinachojiri ktk Mkutano Huu
Kazi kweli kweli. Huyo machali anapokelewa mara ngapi au kila siku atakua akipokewa?