Mohamedi Likoko
Member
- May 8, 2013
- 9
- 2
Ndugu wanachama, wakereketwa, wapenzi na wafuasi wote wa chama kipendwa cha ACT WAZALENDO mkoani Morogoro tunapenda kuwataarifu kwamba chama chetu turufu kimefungua ofisi ya kisasa maeneo ya Boma road karibu na ofisi ya chama wananchi CUF, Karibuni sana kwa wanaoitaji kadi, wenye maswali na wanaohitaji majibu.
TAIFA KWANZA LEO NA KESHO.
TAIFA KWANZA LEO NA KESHO.