ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 607
- 1,540
Viongozi wa ACT Wazalendo (Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa Fedha Ndugu Nassor Mazrui) wanaendelea na ziara ya ughaibuni kwa ajili ya kusikiliza maoni ya Watanzania wanaoishi ughaibuni (Diaspora). Program hiyo ya "Listening Tour" yenye kaulimbiu "We Are Listening" inalenga kupata maoni ya wananchi kwa ajili ya kutengeneza Ilani ya Uchaguzi 2020. Tarehe 02 Februari 2020, viongozi hao watakuwa Jijini Toronto Canada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app