Tokea jana wanannchi wenye uzalendo na nchi yao ya Zanzibar wameanza kumiminika kutokea kila pembe ya nchi hio,huku wakisika wakisema Zanzibar ya ukweli na uwazi imefika na karibu Tanganyika yenye upendo wa kweli.
Na rekodi ya leo kwa Zanzibar huenda ikavunjwa kesho katika viwanja vya mnazi mmoja, ACT na hit songs zao Tunataka nchi yetu na ile piga makofi zinasikika hata kwa watoto wa miaka minne wakiimba nyimbo hizo za hamasa bila ya kuwasahau wazee waliopindukia miaka 80,kwa kweli WaZanzibari wapo mbali kisiasa na wameamka.
Tibirinzi Pemba CCM imepewa talaka moja ,leo Nungwi CCM inapewa talaka ya pili kesho Inshaallah CCM inapewa talaka ya tatu katika viwanja vya Mnazi mmoja.
Na rekodi ya leo kwa Zanzibar huenda ikavunjwa kesho katika viwanja vya mnazi mmoja, ACT na hit songs zao Tunataka nchi yetu na ile piga makofi zinasikika hata kwa watoto wa miaka minne wakiimba nyimbo hizo za hamasa bila ya kuwasahau wazee waliopindukia miaka 80,kwa kweli WaZanzibari wapo mbali kisiasa na wameamka.
Tibirinzi Pemba CCM imepewa talaka moja ,leo Nungwi CCM inapewa talaka ya pili kesho Inshaallah CCM inapewa talaka ya tatu katika viwanja vya Mnazi mmoja.