mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 614
- 597
Huyo Zitto wakati chadema wanampinga jiwe 2015 yeye na wenzake hawakutoa hata neno la kumpinga Jiwe asiingie madarakani. Hashimu Rungwe ndio alikuwa akiongea kwenye mikutano yake kutomchagua Jiwe .Acheni wamnyoshe ili ajifunze, kwamba wenzako wanavyompinga shetani sio wajinga