Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Weka nukuu yako ukipinga barua ya msajili kuvuja mitandaoni kabla ya kufika ACT,else shut up!Kwa kuwa imeanzia mitandaoni naye anaijibu mitaondaoni? Busara gani ya kiongozi kurudia kosa lililofanywa na kiongozi mwingine! Utetezi wa kitoto huo.
Sent using Jamii Forums mobile app