byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
ndo mbinu za mtei saccos hizo.
Hii story ya ukibaraka naona inachuja sana. Huku mtaani hawaoni hivyo. Hapa stendi wanasema tofauti kabisa Aisee. Mie nashauri itafutwe santuri nyingine. Ushauri tu.
Vibaraka wa CCM wao ajenda yao ni kupambana na Chadema na Ukawa tu.
Mfalme wa ACT sasa anafanya umachinga wa kisiasa wa kuuza kadi kwenye mabasi.Na bado huo ni mwanzo tu.
Mnatafuta umaarufu sana act mnafikiri sera za ujaaa zinafaa karne hiiiTaarifa zimezagaa Mjini Singida kuwa mahasimu wakubwa wa chama kipya cha ACT-Wazalendo wameandaa kamchezo kachafu kakufanya fujo katika mikutano yao leo Singida. Mikutano hiyo inaanzia Manyoni. Red Brigade moja 'aliyaasi amewatonya viongozi wa ACT-Wazalendo Mkoa wa Singida kuwa kuna Re Brigade kutoka Dar na Singida wameandaliwa kufanya fujo katika mikutano ya Singida na Mwanza.
Hata hivyo Mwenyekiti wa Vijana wa ACT-Wazalendo Mkoa wa Singida amewaambia waandishi wa habari jana jioni kwamba wamejiandaa vizuri kukabiliana na kikundi cha wahuni wa Red Brigade. Mwenyekiti huyo akasema lengo la wahafidhina kutaka kuharibu mikutano ya Singida ni kujaribu kuonyesha kuwa Mwenyekiti wa Taifa Anna Mgwira na Prof Kitila Mkumbo hawakubaliki kwao.
Akasema kuwa wenzao wa Mwanza pia wamejiandaa vya kutosha katika kuwadhibiti wahuni wowote wanaojipanga kuharibu mikutano yao.
Haya yanakuja baada ya juhudi kama hizi kushindikana katika Mikoa ya Njombe na Iringa, inayodaiwa kuwa ngome ya Chadema.
Ngoja tuendelee kusikilizia hapa, tutawaletea taarifa kamili kadri muda unavyoenda. Lakini kuna shamrashamra ya kutosha sana hapa Mjini Singida katika kusubiri mkutano wa leo wa ACT-Wazalendo.
Jamaa unatoka povu kutetea chama mfu kazi unayo mwaka huu, Chagadema ni chama cha kikanda.
Usaliti hauchuji ni kama kula nyama ya mtu.Ukuwadi wa kisiasa ni ushetani.
Usaliti hauchuji ni kama kula nyama ya mtu.Ukuwadi wa kisiasa ni ushetani.
Hahahahahaaaaa chdama cha kwenye pick up ina maana hakijai hata pickup dah! watu mna vijembe.Jamani nani ahangaike na chama cha kwenye PICK UP chama kisicho na network yeyote ya uongozi ukimtoa Zitto na Kitila hakuna chama hapo, wakimaliza mkutano wanapakia viti meza na mahema kwenye pick up wanahamia mkoa mwingine huku nyuma hawaachi trace yeyote.
Hiki chama cha Zito hakina sera ya kusimama chenyewe. Kinahaha kutafuta huruma ya baadhi ya Wa-Danganyika kwamba eti CHADEMA kinawaandalia fujo kwenye mikutano yao. Watu wanaokuja kuwasikiliza wanataraji muwaambie madhumuni yenu na sera zenu ni zipi na siyo kuwachezea santuri za SISIEM against CHADEMA. Hizo maneno wamezisikia sana kutoka SISIEM na nyie kichwa kichwa mnazichukua na kuzihamishia kwenu. You think you will survive longer?ACT baada ya kueneza sera zenu mnajifanya wapinzani wa CHADEMA, kwa staili hii hamtafika.
Nahis hii ngoma inapigwa na MACCM na nyinyi mnaicheza bila kuskiliza hata kufikir. Sinashaka mkiendelea hivi mtafia njian.
Mnajisifu kwa kufanya fujo, watanzania tunasikiliza sera za mtu yoyote na sio lazima wote tusapoti cdm!Anayeeleweka vema ndio tunamchagua, hakuna mwenye hati miliki ya hii nchi au ya upinzania au chama tawalaKulichowakuta njombe na makambako Ni siri ya act,maana niliwapiga beat act wasiiguse cdm kwenye mkutano wao,niliwaambia mkiigusa Tu cdm mkutano wao hautaisha salama,waliufyata na walipojaribu kuleta vimafumbo vya kitoto waliuona Moto WA wananchi.hiki kikundi cha act kinanguvu mitandaoni lkn huku walikopita Ni kama yatima na hawajui wanafanya nini kwenye ziara Yao.
Vibaraka wa CCM wao ajenda yao ni kupambana na Chadema na Ukawa tu.
Mfalme wa ACT sasa anafanya umachinga wa kisiasa wa kuuza kadi kwenye mabasi.Na bado huo ni mwanzo tu.
Hii story ya ukibaraka naona inachuja sana. Huku mtaani hawaoni hivyo. Hapa stendi wanasema tofauti kabisa Aisee. Mie nashauri itafutwe santuri nyingine. Ushauri tu.