ACT-Wazalendo na CHADEMA, achananeni na dhana ya ukuu/ukubwa miongoni mwa vyama vya upinzani nchini

Naunga mkono hoja.
Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania ni ACT Wazalendo, kwasababu kina wabunge Bara na Visiwani, pia kina wawakilishi ndani ya Baraza la Wawakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania Bara ni Chadema. Kina mbunge mmoja bara, hakina mbunge Zanzibar wala mwakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani Zanzibar ni ACT Wazalendo, kina wabunge na wawakilishi.

Ili Upinzani ufanikiwe lazima wapinzani washirikiane.

Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.

P
Hivi kuna Tanzania bara? Na wewe ni Mwanahabari tena wazamani kama ulivyosema pale star tv.

Acheni kutengeneza historia yetu bwana nchi ni mbili moja Zanzibar na nchi nyingine ni Tanganyika.
 
Naunga mkono hoja.
Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania ni ACT Wazalendo, kwasababu kina wabunge Bara na Visiwani,
pia kina wawakilishi ndani ya Baraza la Wawakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania Bara ni Chadema. Kina mbunge mmoja bara, hakina mbunge Zanzibar wala mwakilishi.
Chama Kikuu cha Upinzani Zanzibar ni ACT Wazalendo, kina wabunge na wawakilishi.

Ili Upinzani ufanikiwe lazima wapinzani washirikiane.

Baada ya Upinzani kushinda Zambia, najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Hivyo na Tanzania kuna siku Upinzani utashinda, uchaguzi, kutangazwa na kuongoza nchi. Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania ni Tanzania" Kwa Tanzania, sisi bado sana, maana ni kama hatuna any serious opposition ya kuikabidhi ikulu yetu, hivyo CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie- Pasco.

P

Umedanganya
 
Hivi kuna Tanzania bara? Na wewe ni Mwanahabari tena wazamani kama ulivyosema pale star tv.

Acheni kutengeneza historia yetu bwana nchi ni mbili moja Zanzibar na nchi nyingine ni Tanganyika.
Nchi ni moja tuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara, na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Tanganyika alikufa ile tarehe 26 April, 1964 siku alipozaliwa Tanzania.
P
 
Nchi ni moja tuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye sehemu mbili, Tanzania Bara, na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Tanganyika alikufa ile tarehe 26 April, 1964 siku alipozaliwa Tanzania.
P
Aisee!! Yani nashindwa kuelewa tuna nature wa wanahabari wa aina gani?

Unaposema jina ni moja yani "Jumhuri ya Muungano wa Tanzania " kuna nchi mbili unasema nchi moja ilikufa? Hapa kwenye Tanzania kuna Tanganyika na Zanzibar hakuna jina lingine.

Sitaki kuelezea Jina Jumhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa kuna makosa kwa KISWAHILI sahihi.

Lakini hapa nataka kukwambia kuwa Tanzania ni yenye nchi mbili moja ni Zanzibar na nyingine Tanganyika.
 
P- hivi kule Zambia unakumbukumbu za kuandikwa kwa katiba mpya?
1964 na 1991 2016 walifanya mabadiliko kuondoa presidential tenure limit kwa shinikizo la Lungu ila kaangukia pua.

Kimsingi wazambia waliondoka kwenye ushamba wa madaraka kama walionao ccm.

Ubunge tu mnaniga watu.
 
Kampeni za 2020 zilituonyesha mapenzi makubwa ya Watanzania nchi nzima kwa umati uliokuwa ukivutiwa kwenye kampeni zao ukilinganisha ná chama cha Ayatollah Zitto. Kabla ya hapo Chadema ilikuwa na viti vingi Bungeni kuliko chama cha ayatollah. Maccm hayakiogopi hata chembe chama cha ayatollah ukilinganisha na wanavyoihofia Chadema. Mitandaoni kote habari ni Chadema hata wanachama na Viongozi wa Chadema wanakamatwa sana, kuteswa na kubambikiwa kesi kuliko wale wa chama cha ayatollah. Hivyo kwa ushahidi huo chama kikuu cha upinzani nchini kitaendelea kuwa Chadema na hakuna sababu yoyote ile ya kuacha kujitambulisha hivyo. Zitto ni MSALITI tu na mchumia tumbo.

Hizi ni miongoni mwa fikra zinazotuharibia vyama vyetu vya upinzani, kwanini uite mwenzako msaliti kwa kutofatiana mawazo , hao wote unaowaita wasaliti ukipewa madaraka itakuaje, fikra zako zinalenga kugawanya upinzani na kuubomoa badala ya kuleta umoja wa vyama vya upinzani.
 
Mimi nasema kweli siku zote. Naujua ushahidi chungu nzima kuhusu usaliti wa Zitto kuanzia miezi michache kabla ya uchaguzi wa 2010 ambao ulisababisha AFUKUZWE Chadema na usaliti huo unaendelea hadi sasa.
Hizi ni miongoni mwa fikra zinazotuharibia vyama vyetu vya upinzani, kwanini uite mwenzako msaliti kwa kutofatiana mawazo , hao wote unaowaita wasaliti ukipewa madaraka itakuaje, fikra zako zinalenga kugawanya upinzani na kuubomoa badala ya kuleta umoja wa vyama vya upinzani.
 
Aisee!! Yani nashindwa kuelewa tuna nature wa wanahabari wa aina gani?

Unaposema jina ni moja yani "Jumhuri ya Muungano wa Tanzania " kuna nchi mbili unasema nchi moja ilikufa? Hapa kwenye Tanzania kuna Tanganyika na Zanzibar hakuna jina lingine.

Sitaki kuelezea Jina Jumhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa kuna makosa kwa KISWAHILI sahihi.

Lakini hapa nataka kukwambia kuwa Tanzania ni yenye nchi mbili moja ni Zanzibar na nyingine Tanganyika.
Mkuu mr mkiki, mjinga ni mtu asiyejua, akielimishwa akajua, ujinga unamtoka, anakuwa mwerevu, ila mpumbavu ni yule mjinga asiyefundishika. Kwenye hili la muungano, wewe Mkuu Mr. mkiki ni mjinga tuu, hivyo najitolea kukufundisha kukutoa ujinga kuhusu Tanzania.

Kuna aina kuu mbili za muungano, aina ya kwanza ni union, na aina ya pili ni fédération.

Union ni nchi mbili au zaidi zinapoungana kuunda nchi moja. Muungano wa Tanzania ni union, ya nchi iliyokuwa Tanganyika ikaungana na nchi iliyokuwa ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi hizi zote mbili zikafa, ikazaliwa nchi mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili na sio nchi mbili. As we speak now, hakuna tena Tanganyika wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, zote zimekufa, kilichopo ni nchi moja tuu ya Tanzania.

Kama mpaka hapa hujaelewa, then wewe utakuwa sio mjinga, bali ni...
naomba nisimalizie...
P
 
Ni kweli kabisa Salary, ni sawa na hii ishu ya CDM kushinikiza kuonana na Samia wao kama wao bila uwepo wa vyama vingine, wakiamini wao ni bora kuliko vyama vingine, hiyo ni wrong na ni ubinafsi
 
Siku chache zilizopita, niliongelea swala la kuwataka CHADEMA kujiepusha na matumizi ya neno "chama kikuu" cha upinzani nchini kwasababu mbalimbali mojawapo ni katika kuimarisha upinzani nchini na kuondoa inferiority complex miongoni mwa vyama vingine vya upinzani.


Katika dhana hiyo hiyo ya kutafuta ukubwa/ ukuu miongoni mwa vyama vya upinzani nchini, leo hii ACT-Wazalendo wameamua kujiita "chama kiongozi wa upinzani nchini". Hii inadhihirisha kile nilichokisema kuwa maneno haya ya "ukuu" yanaathiri umoja na mshikamano miongoni mwa vyama vya upinzani.

Teyari baadhi ya makamanda wameanza kuhoji uhalali wa ACT kujiita ni chama kiongozi wa upinzani nchini jambo ambalo si jema sana.

Najua si vyama vyote vinavyoitwa vyama vya upinzani ni kweli vyama hivyo ni vya upinzani, bali baaidhi ni vyama mapandikizi kwa lengo la kuvuruga upinzani ila bado ukweli huu hauondoi athari ya vyama vingine kuwa na ukuu dhidi ya vyama vingine.

Wasomeni hapa ACT katika taarifa yao hii ndio mjue huu ukuu sio jambo jema miongoni mwa vyama vya upinzani.

View attachment 1894679
mkuu namba hazidanganyi , kila mtu anaufahamu ukubwa wa Chadema
 
Mkuu mr mkiki, mjinga ni mtu asiyejua, akielimishwa akajua, ujinga unamtoka, anakuwa mwerevu, ila mpumbavu ni yule mjinga asiyefundishika. Kwenye hili la muungano, wewe Mkuu Mr. mkiki ni mjinga tuu, hivyo najitolea kukufundisha kukutoa ujinga kuhusu Tanzania.

Kuna aina kuu mbili za muungano, aina ya kwanza ni union, na aina ya pili ni fédération.

Union ni nchi mbili au zaidi zinapoungana kuunda nchi moja. Muungano wa Tanzania ni union, ya nchi iliyokuwa Tanganyika ikaungana na nchi iliyokuwa ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi hizi zote mbili zikafa, ikazaliwa nchi mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili na sio nchi mbili. As we speak now, hakuna tena Tanganyika wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, zote zimekufa, kilichopo ni nchi moja tuu ya Tanzania.

Kama mpaka hapa hujaelewa, then wewe utakuwa sio mjinga, bali ni...
naomba nisimalizie...
P
Zanzibar ni nchi , kama hujui labda ndio maana wanaccm wenzio walikupa kura 1 , huku mpwa wa Magufuli asiye na nyumba wala kiwanja kinondoni akiongoza
 
Siku chache zilizopita, niliongelea swala la kuwataka CHADEMA kujiepusha na matumizi ya neno "chama kikuu" cha upinzani nchini kwasababu mbalimbali mojawapo ni katika kuimarisha upinzani nchini na kuondoa inferiority complex miongoni mwa vyama vingine vya upinzani.


Katika dhana hiyo hiyo ya kutafuta ukubwa/ ukuu miongoni mwa vyama vya upinzani nchini, leo hii ACT-Wazalendo wameamua kujiita "chama kiongozi wa upinzani nchini". Hii inadhihirisha kile nilichokisema kuwa maneno haya ya "ukuu" yanaathiri umoja na mshikamano miongoni mwa vyama vya upinzani.

Teyari baadhi ya makamanda wameanza kuhoji uhalali wa ACT kujiita ni chama kiongozi wa upinzani nchini jambo ambalo si jema sana.

Najua si vyama vyote vinavyoitwa vyama vya upinzani ni kweli vyama hivyo ni vya upinzani, bali baaidhi ni vyama mapandikizi kwa lengo la kuvuruga upinzani ila bado ukweli huu hauondoi athari ya vyama vingine kuwa na ukuu dhidi ya vyama vingine.

Wasomeni hapa ACT katika taarifa yao hii ndio mjue huu ukuu sio jambo jema miongoni mwa vyama vya upinzani.

View attachment 1894679
Chadema ishajifia toka iuzwe na mbowe kwa fisadi edo! Laana za kumfukuza Dr Slaa na kumkumbatia edo
 
Acheni wananchi waamue kama kweli hakuna upinzani serious na si kutumia dola kudhibiti upinzani.

Simple like that.
Huyo Rais wa Zambia ana kesi 15,hakuita wazungu mahakamani wala kukimbilia ulaya,katoboa kwa sera tu,yaani ushindi ni mapema
Pasco kasema hakuna upinzani serious wewe unasema acheni wananchi waamue
 
Siku chache zilizopita, niliongelea swala la kuwataka CHADEMA kujiepusha na matumizi ya neno "chama kikuu" cha upinzani nchini kwasababu mbalimbali mojawapo ni katika kuimarisha upinzani nchini na kuondoa inferiority complex miongoni mwa vyama vingine vya upinzani.


Katika dhana hiyo hiyo ya kutafuta ukubwa/ ukuu miongoni mwa vyama vya upinzani nchini, leo hii ACT-Wazalendo wameamua kujiita "chama kiongozi wa upinzani nchini". Hii inadhihirisha kile nilichokisema kuwa maneno haya ya "ukuu" yanaathiri umoja na mshikamano miongoni mwa vyama vya upinzani.

Teyari baadhi ya makamanda wameanza kuhoji uhalali wa ACT kujiita ni chama kiongozi wa upinzani nchini jambo ambalo si jema sana.

Najua si vyama vyote vinavyoitwa vyama vya upinzani ni kweli vyama hivyo ni vya upinzani, bali baaidhi ni vyama mapandikizi kwa lengo la kuvuruga upinzani ila bado ukweli huu hauondoi athari ya vyama vingine kuwa na ukuu dhidi ya vyama vingine.

Wasomeni hapa ACT katika taarifa yao hii ndio mjue huu ukuu sio jambo jema miongoni mwa vyama vya upinzani.

View attachment 1894679
Act na chadema kipi chenye wabunge wengi!
 
Huyo Rais wa Zambia ana kesi 15,hakuita wazungu mahakamani wala kukimbilia ulaya,katoboa kwa sera tu,yaani ushindi ni mapema
Pasco kasema hakuna upinzani serious wewe unasema acheni wananchi waamue
Lakini yeye hawakumpiga marisasi 38 na hawajamvunja miguu.

Mawakala wake hawakufyekwa mapanga ili wasiwepo kwenye vituo vya kuhesabia kura.

Upinzani ambao hauko serious mnatumia marisasi na mapanga ukiwa serious mtatumia atomic bombs?
 
Back
Top Bottom