Chama cha ACT-Wazalendo mkoani Lindi kimesitisha shughuli ya Maombi ya kumuombea alieykuwa mwenyekiti wao ambaye alifariki Februari 17, 2021.
Hali imetokea baada ya kuomba kibali kwa Jeshi la Polisi mkoani Lindi na kunyimwa, huku sababu kuu iliyoelezwa ni tupo kwenye kipindi cha siku 21 cha maombolezo ya kitaifa.
Je, kipindi hiki ina maana hata kufanya dua tu inakatazwa?
OMBI: Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan ikikupendeza fumua jeshi la Polisi kuanzia kule Juu mpaka wakuu wa Polisi Mikoa na Wilaya, hawa wanakutengenezea na wataendelea kukutengenezea chuki kubwa sana dhidi ya Wananchi.
Hali imetokea baada ya kuomba kibali kwa Jeshi la Polisi mkoani Lindi na kunyimwa, huku sababu kuu iliyoelezwa ni tupo kwenye kipindi cha siku 21 cha maombolezo ya kitaifa.
Je, kipindi hiki ina maana hata kufanya dua tu inakatazwa?
OMBI: Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan ikikupendeza fumua jeshi la Polisi kuanzia kule Juu mpaka wakuu wa Polisi Mikoa na Wilaya, hawa wanakutengenezea na wataendelea kukutengenezea chuki kubwa sana dhidi ya Wananchi.