Haya sasa;
Nimeipata hii huko mtandaoni
We kweli sio mwana ruangwa.Hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujenga uwanja wa mpira
Kabisa mkuuHata hilo LA uwanja wa mpira siyo LA maana...TUTAKULA UWANJA?
MwenyeweWe kweli sio mwana ruangwa.