Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,618
- 218,040
Kauli hiyo ya Kizalendo imetolewa na Kiongozi wa ACT - WAZALENDO Mh Zitto Kabwe , ambapo chama hicho kimemuagiza Mwanasheria Jebra Kambore kuandaa makabrasha .
Chanzo : Mwananchi
Swali : Mbona Mh Magufuli kila akiteua mtu anapingwa sana na wananchi , tatizo liko wapi leo ambalo Mkapa na Kikwete hawakuwa nalo ?
Chanzo : Mwananchi
Swali : Mbona Mh Magufuli kila akiteua mtu anapingwa sana na wananchi , tatizo liko wapi leo ambalo Mkapa na Kikwete hawakuwa nalo ?