Uko sahihiUkiwa uwanja wa ndege kuna sehemu mbili, wale wa safari za ndani na safari za nje huwa hawachangamani.
Hivyo ni rahisi kutambua kuwa abiria ana safari ya ndani ya nchi au nje ya nchi
Duh,ukiwa na passport ya nchi nyingne unaruhusiwa kugombea?Huyu ana passport ya Canada pia. Itakuwa anakwenda Canada kuona familia yake.
✅✅✅JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??
Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
Mkuu umejuaje haya?. Au nawewe upo kitengo?.Huyu ana passport ya Canada pia. Itakuwa anakwenda Canada kuona familia yake.
Mkuu kwani hapo uwanjani, si unaweza ukaona tu ukajua huyu anasafiri nje ya nchi au ndani? Kulingana na eneo ambalo muhusika anapitia?JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??
Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
Habari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni ? Kuna nini kinaendelea ?
Nadhani ndio maana hajaingia mazima mazima alibaki kijijini kwake kwanza kupima upepo wa wagombea wengineMembe angeshauriwa tu atunze pesa zake alizopiga wakati yupo serikalini. He is fighting a lost battle. Hana chance kabisa na analijia hili vizuri
Huo ni uwanja mpya (terminal 3), ambao hutumika kwa safari za nje ya nchi tu!Ukiwa uwanja wa ndege kuna sehemu mbili, wale wa safari za ndani na safari za nje huwa hawachangamani.
Hivyo ni rahisi kutambua kuwa abiria ana safari ya ndani ya nchi au nje ya nchi
Kuna mahala nimemsikia akijiapiza kwamba hatajitoa ng'o, yeye ni mbele kwa mbele...Kuna mawili:Membe atakuwa kamuunga mkono Lissu au kashindwa kuelewana na wenzake katika swala la kumuunga mkono Lissu iwapo kweli hakuwa tayari kufanya hivyo kama alivyosikika hivi karibuni, na sasa kaamua kuendelea na issue zake zingine.
Lakini,huenda kapata dharura hivyo tusimuhukumu moja kwa moja bali tujipe muda ingawa dharura hiyo haipaswi kufanywa siri kama kweli kapata dharura.
Huo uwanja ni sehemu ya "maendeleo ya vitu"!Habari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni? Kuna nini kinaendelea?
Ni kweli; mpaka amevaa barakoa ambazo hazipo tena mitaani siku hiziLabda ya Zamani hii.
Membe ni mjanja mjanja sana tumpe muda! Amesha tibua ana acha vumbi Kali 😂Acha kujiaibisha, wanaokwenda Zanzibar wanatumia Terminal 1. Hapo alipopigiwa picha ni pa kwenda ughaibuni.
Mambo mengine waachieni wanao panda ndege.
Kweli kabisaBila kupinga maelezo yako mazuri, mimi kama mimi sitaki hata Membe amuunge mkono Lisu, maana hata asipomuunga mkono bado Lisu na support ya kweli ya wapinzani. Huyo Membe ni mwanaccm leo hadi kesho, na ataingia kaburini akiwa mwanaccm.Sana sana akimsupport Lisu atalazimisha kuingia kwenye vikao vya mikakati vya cdm, kisha akirudi ccm anakuwa na siri kama kina Lowassa na Sumaye.
Tusikubali kabisa Membe kumuunga mkono Lisu ni hatari kubwa. Huko ACT mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na Wapemba wenzake. Lakini hawa wakina Zito ni kukaa nao kwa akili.
ndio maana anapigia chapuo uraia pacha ?Huyu ana passport ya Canada pia. Itakuwa anakwenda Canada kuona familia yake.
Hiyo picha inaonekana yupo terminal 3. JNIA. Na hiyo terminal ni internacional tu. Haitumiwi kwa Safari za ndaniJNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??
Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu