Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,525
- 1,704
Nadhani ni baada ya kuunga mkono juhudiCUF imetulia baada ya mamluki maalim seif kutimuliwa na wanachama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni baada ya kuunga mkono juhudiCUF imetulia baada ya mamluki maalim seif kutimuliwa na wanachama
Kwanin awamu hii tu ndio haya yametokeaAcheni upuuziKujaza fomu sio mtihani kuwa kila.mmoja anajaza chumba Cha mtihani peke yake kiasi kuwa useme Kama upinzani walikosea na CCM lazima wakukosea wawepo
Fomu mtu alikuwa hajazii hapo hapo ofisini alikuwa anapewa aondoke nayo akae nayo siku za kutosha lengo.likiwa awe na muda wa kujaza kwa usahihi.Kama kina kitu haelewi arudi hata kuuliza au aombe msaada kwa Wana Chama wenzie wamwelekeze au hata ndugu zake hata mawakili wamsaidie kumwelewesha.Hawakufanya.
CCM ilifanya semina elekezi za kujaza hizo fomu na ikawataka viongozi wa matawi wadimamie ujazaji.hizo fomu kujakikisha haikosewi hata nukta kujaza.
Kwa hiyo.mtu alikuwa akichukua fomu anaenda kwenye tawi.lake viongozi wa CCM wanamzunguka wakiwa wamekaa naye kuhakikisha anajaza vizuri bila kukosea.Sababu CCM ilionya fomu yeyote itakayojazwa vibaya uongozi wa tawi wote utachukuliwa hatua.
Upande wa upinzani.mtu alikuwa akichukua fomu anaenda kujijazia anavyojua mwenyewe wnarudisha.Hawakupewa semina elekezi Wala usaidizi.Zao zikarudi na mikosa kibao za CCM zote safi
Siku hizi umeanza kuwa objective, naona kazi ya ukasuku umemwachia Kawe AlumniBwashee serikali za mitaa watawala na watawaliwa wanaishi sehemu moja.....pahala pengine Mtawaliwa ni baba mwenye nyumba wa Mtawala so usidharau!
AKwanin awamu hii tu ndio haya yametokeaAcheni upuuzi
Nashangaa baadhi ya watu wanafanya suala la kujitoa kama jipya!
Maalim Seif alianza tena kwenye Uchaguzi Mkuu na tunafahamu kilichotokea.
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hauna hata foreign observer nani atahangaika nao!