Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Chama cha ACT Wazalendo kimesema zinahitajika nguvu za pamoja katika kufanikisha vita ya ulinzi wa rasilimali zetu ili ziweze kutumika kwa manufaa ya maendeleo ya taifa na siyo vinginevyo.
Mwenyekiti wa taifa wa ACT Wazalendo Yeremiah Maganja ameyasema hayo mjini Bunda wakati wa kikao chake cha ndani kati yake na viongozi wa mchama hicho mkoani Mara.
Mratibu wa Uchaguzi wa chama hicho taifa Mohamed Magala akaelezea mikakati ya chama katika uchaguzi wa viongozi wake.
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mkoa wa Mara Thomas Magero pamoja na wanachama Samuel Chure na Mwera Nyanguru wakatoa maoni yao.
Chanzo; ITV
Mwenyekiti wa taifa wa ACT Wazalendo Yeremiah Maganja ameyasema hayo mjini Bunda wakati wa kikao chake cha ndani kati yake na viongozi wa mchama hicho mkoani Mara.
Mratibu wa Uchaguzi wa chama hicho taifa Mohamed Magala akaelezea mikakati ya chama katika uchaguzi wa viongozi wake.
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo mkoa wa Mara Thomas Magero pamoja na wanachama Samuel Chure na Mwera Nyanguru wakatoa maoni yao.
Chanzo; ITV