Mimi Naamini Kwa Mshindi Yoyote Act Hakiwezi Kikawa Chama Kikuu Cha Upinzani Hiyo Ni Kutokana Na Kuwa Ubavuni Mwa Ccm, Hivyo Ccm Ikipotea Wanapotea Kwa Pamoja Na Ccm Wakashinda Chadema Kitabak Kuwa Chama Kikuu Cha Upinzani Rait Act Wangeenda Kivyao Bila Kuitegemea Ccm Ni Dhahili Kingekuwa Chama Kikuu Cha Upinzani Hiyo Ni Baada Ya Ccm Kuanguka Na Kupotea Kabisa Katika Ulimwengu Wa Siasa, NB Chagua lowasa