hiyo inaitwa jicho la tai niwachache sana wenye upeo wakuona mbali kama hivi,ila piga ua galagaza ikishinda ccm bas wanaukawa lazima wakae pemben kuipisha ACT na vivyohvyo ikishinda ukawa basi ccm lazma ikae pembeni kumpisha zitto alete ushindani wa kweli kwenye siasa
kama unaona mbali kama mimi comment possitvely ila kama kilaza comment ujinga wako tukujue
snk inc
hiyo inaitwa jicho la tai niwachache sana wenye upeo wakuona mbali kama hivi,ila piga ua galagaza ikishinda ccm bas wanaukawa lazima wakae pemben kuipisha ACT na vivyohvyo ikishinda ukawa basi ccm lazma ikae pembeni kumpisha zitto alete ushindani wa kweli kwenye siasa
kama unaona mbali kama mimi comment possitvely ila kama kilaza comment ujinga wako tukujue
snk inc
hiyo inaitwa jicho la tai niwachache sana wenye upeo wakuona mbali kama hivi,ila piga ua galagaza ikishinda ccm bas wanaukawa lazima wakae pemben kuipisha ACT na vivyohvyo ikishinda ukawa basi ccm lazma ikae pembeni kumpisha zitto alete ushindani wa kweli kwenye siasa
kama unaona mbali kama mimi comment possitvely ila kama kilaza comment ujinga wako tukujue
snk inc
Hakuna MTU anaweza kukoment ujinga Mkubwa kupita ujinga ulioandika wewe
Act - Madiwani 2, MBUNGE 1, kura za urais 130,000/ basi, piga hesa kama hizo kura zinatosha kuwa kambi rasmi ya upinzani.
Umevurugwa wewe, hiyo act haiwezi hata kupata wabunge zaidi ya 2 itakuwaje kambi rasmi ya upinzani
Na wewe wala hautoi leason.
Nnakubaliana na wewe katika hilo, nimesikia yule dada wa ACT yuko vizuri na Zitto ana mapungufu yake lakini ni bora kuliko mwana ukiwa yeyote yule.
Hivi nawewe ni GT? Tumbaku ni kitu kibaya sana hasa ukiipiga bila kupata kikombe cha uji.
ndio maisha ya kwenu hayo??? aya tunashukuru tumekujua ila viwanda vya tumbaku vimeshafunguliwa au bado inasafirishwa kama malighaf???
nani kasema inakua kambi rasmi ya upinzani??? tuliza akili usome nlichoandika acha kukurupa ili uonekane umewahi kucomment
Unaandika ujinga tu, hapa ni GT umbea wenu pelekeni fb huko. Eti ACT kitakuwa chama Kikuu cha upinzani, huna facts zozote basi tu kwakuwa jina ni la kike mwisho tumekupuuzia tu.