Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,455
- 215,250
Mkuu huku mkoani kwetu ACT wanatumia ofisi za CCM kuendesha shughuri zao.Wakidai kua bado wanajipanga.
asante kwa kututonya .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huku mkoani kwetu ACT wanatumia ofisi za CCM kuendesha shughuri zao.Wakidai kua bado wanajipanga.
Katiba ya ACT-Tanzania haina sehemu inayoongelea Matawi, Katiba ya ACT-Tanzania inaongelea NGOME, Kwa hiyo hatuna Matawi.
Mkuu huku mkoani kwetu ACT wanatumia ofisi za CCM kuendesha shughuri zao.Wakidai kua bado wanajipanga.
Uongo kusema kwamba mnahangaika na ACT - Tanzania badala ya kujenga chama chenu. ACT -Tanzania hawana sababu yoyote ya kuja kwako kukueleza wanafanya nini, ishi maisha yako acha na wengine waishi wanavyodhani inafaa cha msingi wasivunje sheria za nchi
mbona inasemekana hamna katiba nyie , bali mlibebwa na msajili .
ranfi moto ndio katibu mwenezi labda atakuwa na majibuaSalaam wanajamvi,
Napenda kujua chama cha ACT-Tanzania mpaka sasa kimefungua matawi mangapi,na katika mikoa gani?Maana juzi nilikuwa Mbeya sijabahatika kuona bendera ya ACT-Tanzania,hata Arusha,Dodoma,Morogoro,Iringa,Songea kote huko nimepita sijafanikiwa kuiona bendera hata moja ya ACT-Tanzania au hawajafika bado mikoa hii na kama hawajafika watashirikije uchaguzi wa serikali za mtaa utakaofanyika hivi karibuni au wamejitoa?
Naomba kuwasilisha.
Ule msingi wa UWAZI wa ACT unawafanya wengi wautafute huo UWAZI. Kumbe ACT hawana sababu ya kueleza wanafanya nini japo wanaongozwa na msingi wa UWAZI?
Hapa tunakwazika.
By the way, lini mtakuwa WAZI kuhusu mambo ya pesa ambazo zimewezesha usajili? Mmepata wapi, na kiasi gani, na mmetumiaje?
Au UWAZI una maana tofauti?
Sasa hapo mbona mko sawa na wengine tu?Kumbuka uwazi sio uholela na kuwa wazi haimaanishi ACT - Tanzania waje nyumbani kwako kukupatia taarifa ya mapato na matumizi yao.
Sasa hapo mbona mko sawa na wengine tu?
Mmeshaanza kisingizio cha UHOLELA, kuhalalisha kutokuwa WAWAZI? Hao waanzilishi walipokuwa kwenye vyama vingine hicho mnachoita UHOLELA sasa, ndicho walichokipigia kelele kuwa ni KUKOSA UWAZI. Double standards!!!
Kwa nini msifungue Website ambayo hata kama niko UGHAIBUNI naweza kupata taarifa zote. Si tumeambiwa mmekuja kidijitali ati.
Karibuni katika uwanja wa SIASA, si rahisi kama mlivyodhani.
Unapofanya uenezi wa siasa lazima uwe na uvumilivu. Usitegemee wote ni wa akili kubwa, wengine ni wa kuelewa taratibu na utuchukulie hivyo. Jizuie kuhukumu kuwa anayehoji ametumwa. Sasa mbona hayo hayo ndio mnayolalamikia vyama vingine kuwa haviruhusu kuhoji. Mimi ni mtanzania mwenye uhuru wa kuhoji chochote na situmwi na yeyote. Ukinijibu vema unajenga chama chako.ACT - Tanzania ni chama cha mabadiliko na uwazi, inasikitisha kuona hata vitu vidogo vinasumbua kueleweka, kumbuka hakuna taasisi isiyokuwa na utaratibu. Mahesabu ya ACT - Tanzania hayatakuwa kwenye website tu kama unavyoshauri yatawekwa katika vyombo vyote ili mradi kila mtanzania alieko kijijini na mjini ajue yanayotendeka na ACT - Tanzania. Ninaamini watakapoanza kutekeleza mipango yao kwa mujibu wa utaratibu waliojiwekea mtatambua kuwa wasaliti ni hao waliowaita wenzao wasaliti. Nashauri itafuteni taarifa ya mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali (CAG) ili mjue hao wanaowatumeni kuwatukana na kuwakejeli wazalendo wanafanya nini na rasilimali zenu
Nenda na wewe kasajili chama bila katiba uone kama utasajili.....
Mimi situmwi na yeyote.
Pia kumbuka UZALENDO sio label inayobandikwa kwa mtu. Uzalendo ni zaidi ya tabia, ni haiba. Kama nahoji mapato na matumizi tu umekosa subira tayari, kuna kazi kubwa.
Ukinijibu kwa USTAARABU, UUNGWANA, UVUMILIVU, na UKWELI utanivuta mimi na wengine wengi.
Si tumeambiwa hizo ndizo tabia za wana ACT. Tunapenda tuzione kwa matendo.
ACT Tanzania mko wapi mtuelimishe?
Tafadhali msikimbie nyuzi zenu.