HAKUNA MSALITI ALIYEWAHI KUFANIKIWA , nitajie hata mmoja unayemjua AKASALITI HALAFU AKAFANIKIWA .
nani ni msaliti? Kutofautiana mawazo na wachaga wa chadema ndio usaliti?
HAKUNA MSALITI ALIYEWAHI KUFANIKIWA , nitajie hata mmoja unayemjua AKASALITI HALAFU AKAFANIKIWA .
Salaam wanajamvi,
Napenda kujua chama cha ACT-Tanzania mpaka sasa kimefungua matawi mangapi,na katika mikoa gani?Maana juzi nilikuwa Mbeya sijabahatika kuona bendera ya ACT-Tanzania,hata Arusha,Dodoma,Morogoro,Iringa,Songea kote huko nimepita sijafanikiwa kuiona bendera hata moja ya ACT-Tanzania au hawajafika bado mikoa hii na kama hawajafika watashirikije uchaguzi wa serikali za mtaa utakaofanyika hivi karibuni au wamejitoa?
Naomba kuwasilisha.
Fanyikazi ushauri huu.Tujifunze kutokufuatafuata maisha ya wengine wakati ya kwetu hayako sawa
HAKUNA MSALITI ALIYEWAHI KUFANIKIWA , nitajie hata mmoja unayemjua AKASALITI HALAFU AKAFANIKIWA .
Onyesha hata ofisi moja iliyojengwa na CCM zaidi ya kugeuza nyumba za serikali kufanya za CCM,Misaada ya vijana kama kutoka korea kujenga jumba la vijana
hakuna akina Tumpale wajinga kama wewe wale watu wanajitambua unashadidia marehemu
Wasaliti waliofanikiwa. Wasira nccr to ccm, kabolou chadema to ccm, kafulila chadema to nccr na sasa ukawa pamoja na uwaziri kivuli, dk.slaa ccm to chadema, lema nccr to chadema n.k. orodha ni ndefu sana ila naishia hapo. Na utunze kumbukumbu Zitto baada ya zengwe la wachaga wa chadema kuisha, Zitto kisiasa atakuja fika mbali sana iwe hata iwe nje ya wigo wa siasa. System inamkubali sana kuliko hao wapiga kelele wenu daily kutoa kafara kwenye mikutano ya hadhara.
chadema wameng'ang'ania usaliti tu wenzao wanasonga mbele....mbowe aliuza jimbo la musoma vijijini sio msaliti kwa sababu ni mwenzao
mtoa mada ni msukule wa mtaa wa ufipa
kila MARA UNAAMBIWA KUNA SMS kutoka kwa msaliti mkuu kwenda kwa MGOMBEA ILI AJITOE , kisa ! PESA IMEONGEZWA !
sawa , lakini mmeanzisha matawi mangapi ?
Msaliti ni nani? shida kubwa tuliyonayo watanzania ni kuwaachia watu wengine wafikiri kwa niaba yetu. Hao waanzilishi wa ACT ni wasaliti na mnajua hawatafanikiwa kama ambavyo wengine hawajafanikiwa, kwanini msiwaache waendelee kuhangaika kwa kuwa hawatafanikiwa. Nini sababu ya kukosa usingizi kwa watu unaojua hawatafanikiwa. Badilisheni fikra na mitazamo yenu na tumie muda wenu kutengeneza taasisi zenu. Simple mind wanajadili watu wengine
Onyesha hata ofisi moja iliyojengwa na CCM zaidi ya kugeuza nyumba za serikali kufanya za CCM,Misaada ya vijana kama kutoka korea kujenga jumba la vijana
ninao ushahidi wa mbowe kuhongwa milioni ishirini na nimrod mkono...tatizo nyie misukule mmeshikiwa akili na mbowe...mbowe huyu huyu amejimilikisha gazeti la tanzania daima na kuuzia chama fuso mbovu kwa milioni 600
HAPO UMECHANGANYA WALIOHAMA VYAMA na WASALITI , ACT - IMEKUSANYA WASALITI WA VYAMA MBALIMBALI .
weka hapa huo ushahidi , MAKELELE HAYATAKUOKOA .
Salaam wanajamvi,
Napenda kujua chama cha ACT-Tanzania mpaka sasa kimefungua matawi mangapi,na katika mikoa gani?Maana juzi nilikuwa Mbeya sijabahatika kuona bendera ya ACT-Tanzania,hata Arusha,Dodoma,Morogoro,Iringa,Songea kote huko nimepita sijafanikiwa kuiona bendera hata moja ya ACT-Tanzania au hawajafika bado mikoa hii na kama hawajafika watashirikije uchaguzi wa serikali za mtaa utakaofanyika hivi karibuni au wamejitoa?
Naomba kuwasilisha.