Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Kuna watu wanahitaji elimu kubwa sana kuhusu masuala ya uraia.Sio lazima NEC hii ndio ihusike kwenye kura ya maoni, inaweza kuundwa tume maalum ya kusimamia huo mchakato kama lilivyoundwa bunge maalum la katiba.