Tetesi: ACT kukosa mbunge 2020,ni baada ya Zitto kuamua kugombea Chadema

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Habari za chini chini zinasema kuna mazungumzo mazito sana yamefanyika nyumbani kwa Freeman Mbowe usiku kwa zaidi ya siku tatu wiki iliyopita.
Ajenda kubwa kwenye mazungumzo hayo yalikuwa ni kuangalia na kumpokea mh Zitto kabwe ambaye anatarajiwa kurudi kundini katikati ya mwaka 2018 au mwanzoni mwa 2019 .
Mazungumzo hayo yalioshuhudiwa na viongozi waandamizi wa Chadema huku Tundu Lissu akishiriki kwa njia ya simu.
Mazungumzo hayo hayakufikia muafaka hasa suala la kumsafisha Zitto na kashfa ya usaliti nalo likiibuka wengi wa viongozi wa Chadema wakimtaka Zitto akiombe chama na wanachama msamaha na wachache wakitaka chama kitamke kuwa kilifanya makosa katika kushughulikia suala la Zitto,chanzo kiliripoti.
 
Sawa tu. Mpona Mpendazoe amerudi huko CCM? Nyumbani ni nyumbani, cha msingi awe mtulivu na akubali uwajibikaji wa pamoja. Tukiwa na chama kimoja chenye nguvu sawa na chama tawala ni afya kwa demokrasia.
 
Hilo waachiwe wanachama waamue pia ni vyema kukawa na upinzani mmoja kuunganisha nguvu
 
Habari za chini chini zinasema kuna mazungumzo mazito sana yamefanyika nyumbani kwa Freeman Mbowe usiku kwa zaidi ya siku tatu wiki iliyopita.
Ajenda kubwa kwenye mazungumzo hayo yalikuwa ni kuangalia na kumpokea mh Zitto kabwe ambaye anatarajiwa kurudi kundini katikati ya mwaka 2018 au mwanzoni mwa 2019 .
Mazungumzo hayo yalioshuhudiwa na viongozi waandamizi wa Chadema huku Tundu Lissu akishiriki kwa njia ya simu.
Mazungumzo hayo hayakufikia muafaka hasa suala la kumsafisha Zitto na kashfa ya usaliti nalo likiibuka wengi wa viongozi wa Chadema wakimtaka Zitto akiombe chama na wanachama msamaha na wachache wakitaka chama kitamke kuwa kilifanya makosa katika kushughulikia suala la Zitto,chanzo kiliripoti.
Wakitaka kupiga bao, wamruhusu ZITTO agombee Urais 2020
 
Habari za chini chini zinasema kuna mazungumzo mazito sana yamefanyika nyumbani kwa Freeman Mbowe usiku kwa zaidi ya siku tatu wiki iliyopita.
Ajenda kubwa kwenye mazungumzo hayo yalikuwa ni kuangalia na kumpokea mh Zitto kabwe ambaye anatarajiwa kurudi kundini katikati ya mwaka 2018 au mwanzoni mwa 2019 .
Mazungumzo hayo yalioshuhudiwa na viongozi waandamizi wa Chadema huku Tundu Lissu akishiriki kwa njia ya simu.
Mazungumzo hayo hayakufikia muafaka hasa suala la kumsafisha Zitto na kashfa ya usaliti nalo likiibuka wengi wa viongozi wa Chadema wakimtaka Zitto akiombe chama na wanachama msamaha na wachache wakitaka chama kitamke kuwa kilifanya makosa katika kushughulikia suala la Zitto,chanzo kiliripoti.
Kama ni kweli basi Mbowe ajiandae kukaa pembeni
Zito hawezi kuwa kwenye chama cha siasa chochote bila madaraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom