Lawrichie
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 753
- 2,044
Aiseee umeelezea vizuri Sana na nimekuelewa vizuri pia...
Ila hofu yangu ni idadi ya Wabunge wa CHADEMA, hapo umekadiria wanaweza kupungua Wabunge 15.
Mashaka yangu ni kwamba wanaweza wakapungua zaidi ya hiyo idadi hasa wale waliopata viti kwa nguvu ya EL, pia kuna wale ambao tayari walikwisha achia viti inamaana idadi ilishapungua pia. Bado watakaonunuliwa hatujui idadi kwa sababu naamini bado wapo watakaokubali kununuliwa. Haya ndio mashaka yangu tu...
Lakini pamoja na haya yote bado naamini huku bara CHADEMA itaendelea kuwa chama imara na mshindani wa kweli 2020.
GOD BLESS OUR NEXT PRESIDENT TUNDU ANTIPUS LISSU...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hofu yangu ni idadi ya Wabunge wa CHADEMA, hapo umekadiria wanaweza kupungua Wabunge 15.
Mashaka yangu ni kwamba wanaweza wakapungua zaidi ya hiyo idadi hasa wale waliopata viti kwa nguvu ya EL, pia kuna wale ambao tayari walikwisha achia viti inamaana idadi ilishapungua pia. Bado watakaonunuliwa hatujui idadi kwa sababu naamini bado wapo watakaokubali kununuliwa. Haya ndio mashaka yangu tu...
Lakini pamoja na haya yote bado naamini huku bara CHADEMA itaendelea kuwa chama imara na mshindani wa kweli 2020.
GOD BLESS OUR NEXT PRESIDENT TUNDU ANTIPUS LISSU...
Sent using Jamii Forums mobile app