Hivi huwa hawalipwi perdiem? wananjaa sanaFedha walitumia yeye na Mahita toka Moshi na kuja kutanulia Dar es Salam.
Kuna tofauti gani kati ya huyu na aliyejifanya kaimu afisa kodi Lengai Ole Sabaya?
Hivi huwa hawalipwi perdiem? wananjaa sanaFedha walitumia yeye na Mahita toka Moshi na kuja kutanulia Dar es Salam.
Kuna tofauti gani kati ya huyu na aliyejifanya kaimu afisa kodi Lengai Ole Sabaya?
Wakishapewa vyeo au wakiwa wameahidiwa vyeo wanachanganyikiwa.Aiseeee haya ma Policcm Yana njaa njaa sana tatizo lao yanatumika Kama toilet paper na wanasiasa uchwara huku yakilipwa mshahara wa nusu kilo ya kitimoto pumbaf kabisa
Njaa! njaa! njaa!
#Pascal Mayala
Laki mbili na 60 zote? Alinunua mbuzi wangapikingai si aliitolea maelezo hiyo hela kuwa aliwanunulia watuhumiwa nyama na Mo Energy.
Tumdai kwanza Moses Lijenje...
"Moses life matters"
Hela wachukue hiyo 260 nimshahara wao wamwezi ati,wanastress sana za maisha!!
Kamavipi akarepee anapoishi unakuta ni daborumu chaafu inayoanguka...
hivi vitu ndovinawapaga rohombaya atii!
Au mwache akahonge kahaba apewe ukimwi,pesa zawizi siunajua huwa na laana zake...
Wanavyotesa binadamu unagundua somehow hawa watu hawakosawa wanaishi kwatabu sana!!
Wacha wakamshushe busha aka kipira awe RPC wa kwanza kwenda kazini kavaa Msuli au kanzuNgoja akawadhulumu wazee wa ujiji asemewe kisomo, matokeo mtayaona
Hili limejikita kimfumo zaidi, vyuo vya polisi wanafundishwa kuja kuishi vipi na jamii?Siyo kwamba wana hali mbaya,wanatumia pesa zao vibaya,wana posho katikati ya mwezi,mshahara mwisho wa mwezi,bado maruprupu kibao.Wanatumia pesa tu vibaya.
Wacha wakamshushe busha aka kipira awe RPC wa kwanza kwenda kazini kavaa Msuli au kanzu
Mwambie ukweli huyo pimbi!Ngoja akawadhulumu wazee wa ujiji asemewe kisomo, matokeo mtayaona