MR SILENCE
Member
- May 20, 2012
- 13
- 2
Hapana kwenye red jamaa aliandika Ulimboka aliyepotosha ni Kaka kiiza
jigoku
ACP Hemed Msangi alifanyakazi Arusha kama PP enzi za RPC Hemed [mwarabu] na baadae akaamishiwa Arumeru kama OC-CID wakati wake kituo cha polisi USA kilisifika kwa mauaji na mateso.Mwaka juzi alipandishwa cheo na kuhamishiwa Morogoro kama RCO mwaka 2012 akahamishiwa Dar kama RCO kanda maalumu.
ACP Hemed Msangi ana pacha wake ACP Salim Msangi ni RPC mkoa mpya wa Simiyu huyu alifanyakazi mkoa wa Kilimannjaro CCP muda mrefu bila shaka wachangiaji wengi wanawachanganya kwakuwa wote ni watoto wa marehemu RPC Msangi aliyefariki kwa ajali ya gari iliyotokea wakati wa msiba wa mtoto wa waziri mkuu mstaafu David C Msuya.Kupanda madaraja kwa haraka sana makamanda ACP Hemed Msangi na ACP Salim Msangi kunahusishwa na ukaribu wa familia ya D Cleopa Msuya.
Huyu Hemedi Msangi ni mtu mzuri tu, yeye alifanya kazi pale ofisi ya PP's arusha kwa muda mwingi akiwa na akina Duwani Nyanda,Massawe,Temu,Selemani,Juma,Thomas na Awadhi. Yeye siyo mwanazuoni kabisa lakini kujuana ndio kuliko msaidia, na sio kweli kwamba alisomea Botswana bali alikwenda kule kuudhuria kozi fupi za kipolisi.
Use your Brain not your spinal cord, ... when you r doing a critical thinking!!OK?Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Wewe msangi usilete Uzi wa kujitetea hapa jf nenda kanisani ukatubu hapa unapoteza muda tuu data zako zote tunazoKuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (zco) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka dr.ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki steven kanumba ya kuwa eti kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
weeeeeeeeeeeeeeeee!!!! take care watu wamefunguka, hadanganyiki mmtu wala hasafishiki mtu , lazima huyu kamanda awajibike kwa vitendo vyake vya ukatili ,Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Wewe msangi usilete Uzi wa kujitetea hapa jf nenda kanisani ukatubu hapa unapoteza muda tuu data zako zote tunazo