mangi jr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 290
- 238
Habari za muda wadau! Mimi simu yangu ina tatzo moja. Kila nikihitaji kupiga simu inaniambia Acm limit exceeded. Naweza kufanya miamala au kupokea simu lakini siwezi kupiga. Nimejaribu Ku clear data kwenye dialer na contact ila tatizo bado. Mwenye ujuzi anisaidie. Natumia Nokia 1 dual sim yenye toleo la android 8 (Oreo)
Sihitaj kubadili SIM card nahitaji Ku fix hili tatizo basi.
Natanguliza shukran
Sihitaj kubadili SIM card nahitaji Ku fix hili tatizo basi.
Natanguliza shukran