JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
- Thread starter
- #41
ndugu yangu weee.... naona kuna haja ya kutumua mtu aisee akacheki hali ya mwanetu, maana naona kama yule jamaa wa mikono ya sweta keshaharibu
JS: ushawahi kusoma tenzi ra rohoni weye? Muulize MJ akupe kopi
Tena hapo ndo haswaaa pamenifanya niandike hii...ulikuja mpaka huku ukaondoka hivi hivi