Nenda Hospitali kubwa hapo ulipo ukapime na ukitumia dawa za hospitali kujitibia hayo maradhi yako na hujapona nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona haraka.Ukihitaji tiba toka kwanguWadau hivi kuna kipimo cha huu ugonjwa? Maana nauliza kwa kuwa sehemu nyingi madaktari wanaishia kuniuliza "una vidonda vya tumbo?" Badala ya kunifanyia vipimo...
Wengi wamekuwa wakiguess tu na kuniandikia dawa! Je kama kuna vipimo gharama yake ni kiasi gani? Je kuna tiba sahihi ya hizi dawa za hospitali?
NB; Nimekuwa nikisumbuliwa na tumbo kwa miaka sasa!!
Dawa pia zipo including health education concerning with life styleVipimo vipo, Kuna H pilory, barium meal X ray, endoscopy etc!!
Bei sijui
vipimo vipo inabidi uende ukapige endoscopy kwenye hospital kubwa coz hicho kipimo wanaingiza mirija tumboni then wanaanza kuangalia tatizo kwenye compyuta bei yake sh.laki na elfu ishirini(120,000) but ukiwa nabima unatumia bima,coz mi mwenyewe icho kipimo nimepima nilitumia bima bugando hospitalWadau hivi kuna kipimo cha huu ugonjwa? Maana nauliza kwa kuwa sehemu nyingi madaktari wanaishia kuniuliza "una vidonda vya tumbo?" Badala ya kunifanyia vipimo...
Wengi wamekuwa wakiguess tu na kuniandikia dawa! Je kama kuna vipimo gharama yake ni kiasi gani? Je kuna tiba sahihi ya hizi dawa za hospitali?
NB; Nimekuwa nikisumbuliwa na tumbo kwa miaka sasa!!
Heligo kitAsilimia 90% ya vidonda vya tumbo vinasababishwa na bacteria aina ya helicobacter pylori kwa hiyo vipimo vinavyotumika ni
1. H. pylori test-Rapid test(test ya haraka)
2. Barium Meal-(Radiology-Inahusisha X-ray, yaani unachukua maji lita moja unachanagnya na barium sulpahte then unayanywa kisha wanakupiga X-ray)
3.Endoscopy-Ni kifaa kinacho ingizwa tumboni kupitia mdomoni na koo la chakula daktari huwa anakuwa na monitor pembeni inayomwezesha kuona kilichopo ndani,(It is the best investigation bcoz it can act not only diagnostic but also treatment)
Matibabu katika hospitali zetu ni
1.First line-Triple therapy(Dawa aina tatu-Amoxicillin, Omeprazole na Metronidazole up to 2 weeks) if fails
2.Second line-Triple therapy(Dawa aina tatu-Clarythromycin, lansoprazole na tinidazole up to 2 weeks) hupenda hutumia neno "helgo kit"
Kwa kuongezea hospitali ambapo vipimo vya endoscopy kinapatikana ni Kairuki na Alfa Clinic.Endoscopy ndio kipimo sahihi cha kudetect vidonda vya tumbo mikoani hakuna hicho kipimo labda hosp kubwa kama kcmc bugando mbeya muhimbili regency agakhan dar na hizo kubwa kubwa za dar regency ni 160000 kama haijapanda ni bei ya mwaka jana na kote wanakubali bima ya afya pia, madaktar huwa wanakuuliza ili kama ulishapima uwape jibu wajue dawa za kukuandikia unaweza tu kuwajibu sijawahi kupimwa haitakugharim kitu kwa jibu hilo
Mkuu nendabgqmasi yoyote ilabkumbuka kuhakiki "EXPIRE DATE"Mi nipo dar mkuu,
na bugando hospitalKwa kuongezea hospitali ambapo vipimo vya endoscopy kinapatikana ni Kairuki na Alfa Clinic.
Sawa mkuu, Ahsante sana!Mkuu nendabgqmasi yoyote ilabkumbuka kuhakiki "EXPIRE DATE"
Hiyo Endoscopy nilishafanyiwa KCMC 2011 bei ilikuwa 30,000 wakati uleKwa kuongezea hospitali ambapo vipimo vya endoscopy kinapatikana ni Kairuki na Alfa Clinic.