Kwani chadema wamewahi jenga kipi kwa pesa zake? Chadema pesa wanazotumia ni za walipa kodi ambazo ni za ruzuku lakini wameandika kuwa ni mali za chadema utafikiri walitumia pesa zao.mna ufahamu mdogo mno tena sana hizo pesa za ruzuku ni za watanzania wote mnapata wapi guts za kusema hizo mali za chadema?
Kwani ulitaka nao watumie fedha za ruzuku kuwekeza vitegauchumi? you bulling yourself...