The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Kameibuka katabia kakusema, "aaa mbona hukusema kipindi yupo?"
Tuweni wakweli basi, nani kati yetu angethubutu kumkosoa?
Nani angempinga mpakwa mafuta wa bwana? Yule alikuwa mteule bwana.
Alikuwa na masikio ya kusikia hata kama ungeongea kwa sauti ya kunong'ona. Jamaa alikuwa anatisha. Kulitaja jina lake ilibidi kwanza ujitie kichaa. Hata sasa bado tunamuogopa. Ngoja niishie hapa asije akanisikia.
Tuweni wakweli basi, nani kati yetu angethubutu kumkosoa?
Nani angempinga mpakwa mafuta wa bwana? Yule alikuwa mteule bwana.
Alikuwa na masikio ya kusikia hata kama ungeongea kwa sauti ya kunong'ona. Jamaa alikuwa anatisha. Kulitaja jina lake ilibidi kwanza ujitie kichaa. Hata sasa bado tunamuogopa. Ngoja niishie hapa asije akanisikia.