Muulize ..
No thanx..
Do you have lollipop?
Mumeo anatoka safarini unapotoa nguo kwa sanduku unakutana na chupi iliyochokachoka ambayo si yako. Ukiwa mwanandoa utafanyaje?
akili za wanawake bana....
sasa umekuta chupi ina maana huyo hawara alirudi kwao bila chupi?
we huoni hiko ni kisa cha makusudi umefanyiwa ili ugombane na mumeo??????/
hapo kuna mwanamke kaweka chupi ,tena ambayo sio yake ili akurushe roho.....
wanawake wa kiswahili aache chupi yake ovyo ovyo ni ngumu kwa sababu za imani za kishirikina zinzotawala mambo hayo....
hiyo ni tricky.....
akili za wanawake bana....
sasa umekuta chupi ina maana huyo hawara alirudi kwao bila chupi?
we huoni hiko ni kisa cha makusudi umefanyiwa ili ugombane na mumeo??????/
hapo kuna mwanamke kaweka chupi ,tena ambayo sio yake ili akurushe roho.....
wanawake wa kiswahili aache chupi yake ovyo ovyo ni ngumu kwa sababu za imani za kishirikina zinzotawala mambo hayo....
hiyo ni tricky.....