Acheni utani.....inauma jamani!

Sabry001

JF-Expert Member
Jun 28, 2011
1,064
353
Mumeo anatoka safarini unapotoa nguo kwa sanduku unakutana na chupi iliyochokachoka ambayo si yako. Ukiwa mwanandoa utafanyaje?
 
Ujue ame deal na mwanamke aliyechokachoka kama chupi yenyewe,,,then unaweza kuwa mpole kama vp.
 
mwenzio nilikuta li skin tait chafuuuuuuuuuuuuu kha mpaka nikikumbuka nakula nasikia kutapika kila siku mhhhh wanaume hawa jamani WAMELAANIWA
 
Mumeo anatoka safarini unapotoa nguo kwa sanduku unakutana na chupi iliyochokachoka ambayo si yako. Ukiwa mwanandoa utafanyaje?

chupi ya kike au ya kiume? Chupi ya mwizi huwa inakutwa kitandani siyo kabatini.
 
akili za wanawake bana....

sasa umekuta chupi ina maana huyo hawara alirudi kwao bila chupi?
we huoni hiko ni kisa cha makusudi umefanyiwa ili ugombane na mumeo??????/

hapo kuna mwanamke kaweka chupi ,tena ambayo sio yake ili akurushe roho.....

wanawake wa kiswahili aache chupi yake ovyo ovyo ni ngumu kwa sababu za imani za kishirikina zinzotawala mambo hayo....

hiyo ni tricky.....
 
akili za wanawake bana....

sasa umekuta chupi ina maana huyo hawara alirudi kwao bila chupi?
we huoni hiko ni kisa cha makusudi umefanyiwa ili ugombane na mumeo??????/

hapo kuna mwanamke kaweka chupi ,tena ambayo sio yake ili akurushe roho.....

wanawake wa kiswahili aache chupi yake ovyo ovyo ni ngumu kwa sababu za imani za kishirikina zinzotawala mambo hayo....

hiyo ni tricky.....

Mkuu nimecheka sana!
 
akili za wanawake bana....

sasa umekuta chupi ina maana huyo hawara alirudi kwao bila chupi?
we huoni hiko ni kisa cha makusudi umefanyiwa ili ugombane na mumeo??????/

hapo kuna mwanamke kaweka chupi ,tena ambayo sio yake ili akurushe roho.....

wanawake wa kiswahili aache chupi yake ovyo ovyo ni ngumu kwa sababu za imani za kishirikina zinzotawala mambo hayo....

hiyo ni tricky.....


Kama kweli umeikuta hio.... jua mumeo anataka usepe ila hana guts za kukuambia.....
 
Back
Top Bottom