Nimeshangaa sana eti kusikia show ya mwana fa haikufanya vizuri kutokana na kuwa eti kuna watu walitangaza kuwa ticket zimeisha ndo maana wengi hawakwenda,aliyetangaza kuwa ticket zimeisha ni BDOZEN na GEAR pamoja na DINA MARIOS tena kwa mbwembwe sasa apa walitaka sijui ionekane kuwa show ya fa ilipata mashabiki wengi au vipi,wanajua wenyewe,sasa hivi show yenu imebuma mnaanza ooh watu walitngaza kuwa ticket zimeisha ndo maana watu hawakuja,what a non sense,kama kujiroga mmejiroga wenyew,iweje mtafute mchawi now???,hizo ni hoja dhaifu,wenyewe waliropoka hadi fa kuwa walitaka watu mia nne tu na kuwa wameshatimia,sasa kelele za nn??,mkubali tu kuwa mmepigwa bao