Acheni tu Shule za Kishua kama za FEZA na St. Mary zifaulishe sana na zetu zifelishe

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Kwa nyakati tofauti Leo ( Jioni Saa 12 kuelekea Saa 1 ) nimepita katika hizi ( hizo ) Shule FEZA na St. Mary na kukuta Watoto wapo Kimya Madarasani mwao wanajisomea na nilipopita katika Shule za Kawaida ( za Mangumbaru ) nikawakuta Watoto wapo Madarasani wanavuta Bangi, wanaangalia Picha za Ngono katika Simu zao na wengine hata Kunisalimia wameshindwa na walichoniuliza ni kama Mkeka wa Kubeti wa kwa Muhindi wa leo unasomeka wakacheze zao.

Hizi Shule za 'Kishua' nimegundua kuwa zinafundisha sana na kwa bidii zote na wala haziibi Mitihani ili ziwafaulishe Wanafunzi ( Watoto ) wao kama ambavyo tunasema kila Uchao.
 
Kwa nyakati tofauti Leo ( Jioni Saa 12 kuelekea Saa 1 ) nimepita katika hizi ( hizo ) Shule FEZA na St. Mary na kukuta Watoto wapo Kimya Madarasani mwao wanajisomea na nilipopita katika Shule za Kawaida ( za Mangumbaru ) nikawakuta Watoto wapo Madarasani wanavuta Bangi, wanaangalia Picha za Ngono katika Simu zao na wengine hata Kunisalimia wameshindwa na walichoniuliza ni kama Mkeka wa Kubeti wa kwa Muhindi wa leo unasomeka wakacheze zao.

Hizi Shule za 'Kishua' nimegundua kuwa zinafundisha sana na kwa bidii zote na wala haziibi Mitihani ili ziwafaulishe Wanafunzi ( Watoto ) wao kama ambavyo tunasema kila Uchao.
Wacha uongo,,,wacheni kununuwa mitihani..
 
Kwa nyakati tofauti Leo ( Jioni Saa 12 kuelekea Saa 1 ) nimepita katika hizi ( hizo ) Shule FEZA na St. Mary na kukuta Watoto wapo Kimya Madarasani mwao wanajisomea na nilipopita katika Shule za Kawaida ( za Mangumbaru ) nikawakuta Watoto wapo Madarasani wanavuta Bangi, wanaangalia Picha za Ngono katika Simu zao na wengine hata Kunisalimia wameshindwa na walichoniuliza ni kama Mkeka wa Kubeti wa kwa Muhindi wa leo unasomeka wakacheze zao.

Hizi Shule za 'Kishua' nimegundua kuwa zinafundisha sana na kwa bidii zote na wala haziibi Mitihani ili ziwafaulishe Wanafunzi ( Watoto ) wao kama ambavyo tunasema kila Uchao.
Elimu ya mfumo wa kuchuja wanafunzi kwa alama ndiyo unausifia ??! Popote duniani hakuna shule inayoweza kuandikisha wanafunzi wenye IQ kubwa tuu!! Unazoziita za ngumbaru hebu na zenyewe ziambiwe zichuje ili zibaki na cream muone moto wake !!
 
Kweli kabisa hizi shule zetu za kata huku mitaani asilimia kubwa hakuna maadili na Mazingira mazuri ya kufaulu vyema ,mimi nimeshudia mengi tu zaidi ya hayo .
 
Kwa nyakati tofauti Leo ( Jioni Saa 12 kuelekea Saa 1 ) nimepita katika hizi ( hizo ) Shule FEZA na St. Mary na kukuta Watoto wapo Kimya Madarasani mwao wanajisomea na nilipopita katika Shule za Kawaida ( za Mangumbaru ) nikawakuta Watoto wapo Madarasani wanavuta Bangi, wanaangalia Picha za Ngono katika Simu zao na wengine hata Kunisalimia wameshindwa na walichoniuliza ni kama Mkeka wa Kubeti wa kwa Muhindi wa leo unasomeka wakacheze zao.

Hizi Shule za 'Kishua' nimegundua kuwa zinafundisha sana na kwa bidii zote na wala haziibi Mitihani ili ziwafaulishe Wanafunzi ( Watoto ) wao kama ambavyo tunasema kila Uchao.
Wanatumia Mtala gani? Kama ni huu huu wa Kibongo hakuna kitu zaidi ya kuongea Amerixan English.
 
Elimu ya mfumo wa kuchuja wanafunzi kwa alama ndiyo unausifia ??! Popote duniani hakuna shule inayoweza kuandikisha wanafunzi wenye IQ kubwa tuu!! Unazoziita za ngumbaru hebu na zenyewe ziambiwe zichuje ili zibaki na cream muone moto wake !!
Nashangaaa sana, watu wanapumbwazwa na mtoto kuongea Kingereza, ila still hao watoto wanafuata mtala huu huu wa hovyo kabisa na ulio pitwa na wakati
 
Kweli kabisa hizi shule zetu za kata huku mitaani asilimia kubwa hakuna maadili na Mazingira mazuri ya kufaulu vyema ,mimi nimeshudia mengi tu zaidi ya hayo .
Kufualu sio kujifunza, Hizo unazo zisifia taja mtoto anacho toka nacho pale ziadi ya kujua kuongea Kingereza fasaha. Na kufaulu maana yake mtoto ana uwezo mkubwa sana wa kukariri yali anayo fundishwa, sasa zama za kukariri aiseee Dunia hii hazina nafasi
 
Kufualu sio kujifunza, Hizo unazo zisifia taja mtoto anacho toka nacho pale ziadi ya kujua kuongea Kingereza fasaha. Na kufaulu maana yake mtoto ana uwezo mkubwa sana wa kukariri yali anayo fundishwa, sasa zama za kukariri aiseee Dunia hii hazina nafasi
Kabisa kwa asilimia zote ,bongo bando tunamfumo mbaya sana wa elimu sijui lini tutabadilika.
 
Kabisa kwa asilimia zote ,bongo bando tunamfumo mbaya sana wa elimu sijui lini tutabadilika.
Mbona Elon mask ameupinga mfumo wa elimu wa marekani na kaanzisha shule yake isiofuata mtaala wa circular.Sasa kwa nini mnasifia mifumo ya nje wakati huko kwao nao inapingwa ?
Je nyie mmesoma nje?
 
Yani leo saa 12 jioni peke yake umepita shule za Feza, St. Marys na shule za serikali?

Aisee, hivi unajua kwamba sisi ni watu wazima?
584213.jpg
 
Back
Top Bottom