Acheni tabia za kula nauli za watu kama hamna nia

Ha ha ha,umenikumbusha mkuu nilimgegeda mtoto mmoja matata sana kwa makubaliano nimpe 250,000/=ili anivulie pichu,nikasema sawa naomba nikutumie kwa tigo pesa,nikatuma mzigo akapokea,nikaona yuko full tabasamu nikachukua logde nikala,baada ya masaa matatu nikarudisha muamala na kumtumia 20,000/=tu,
Ebana nilitukanwa mitusi yote ya dunia hii
Aisee wewe mafiaa...
 
Ha ha ha,umenikumbusha mkuu nilimgegeda mtoto mmoja matata sana kwa makubaliano nimpe 250,000/=ili anivulie pichu,nikasema sawa naomba nikutumie kwa tigo pesa,nikatuma mzigo akapokea,nikaona yuko full tabasamu nikachukua logde nikala,baada ya masaa matatu nikarudisha muamala na kumtumia 20,000/=tu,
Ebana nilitukanwa mitusi yote ya dunia hii
Ulikutana na mtoto kiazi... Una kutana na wakali wa hizi kazi ukituma tu inahama mtandao wa kwanza... Inahamia wa pili, Inahamia wa Tatu mara paap imepelekwa NMB utarudisha kokoto
 
Ha ha ha,umenikumbusha mkuu nilimgegeda mtoto mmoja matata sana kwa makubaliano nimpe 250,000/=ili anivulie pichu,nikasema sawa naomba nikutumie kwa tigo pesa,nikatuma mzigo akapokea,nikaona yuko full tabasamu nikachukua logde nikala,baada ya masaa matatu nikarudisha muamala na kumtumia 20,000/=tu,
Ebana nilitukanwa mitusi yote ya dunia hii
 
Ulikutana na mtoto kiazi... Una kutana na wakali wa hizi kazi ukituma tu inahama mtandao wa kwanza... Inahamia wa pili, Inahamia wa Tatu mara paap imepelekwa NMB utarudisha kokoto
sema washamba wakiona ile pesa anachanganyikiwa hawezi hata kumbuka kurudisha muhamala...
 
sema washamba wakiona ile pesa anachanganyikiwa hawezi hata kumbuka kurudisha muhamala...
Hahahahahaha ndo ujinga huo... Hakuna pesa tamu kama ya nauli jamani nasema hakunaaaaaa

Yaani ukienda kuitumia huskii maumivu wala uchungu unaenda kwa mariiingo kabisa heheheheheh
 
We konkii
Eeeh tena wakina sie tuna laini za mitandao yote wooooi.... Ikiingia kwenye tigo kituo cha kwanza m pesa, cha pili Airtel money, cha Tatu halopesa cha nne kama sio kutolewa bank baasi hakuna kurudisha nauli na hakuna kwenda kwa mtuma nauli...... Unatuma nauli ili iweje.... Ukiwa na hamu na mpenzio mwambie aje tu pesa utampa akifika... Kama hana nauli akakopeeee
 
Hizo ni pesa huwa ni zinatunzwa maalumu kwa dharura kama hizo,kamari.Kwakuwa unakuwa ushajipanga,yani, kupata ama kukosa,wala hupaswi kujuta. Wenye hela zao hupoteza sana hizo kwa watu tofauti.Lakini, atapoteza leo,kesho anakula. Na hiyo ndiyo siri ya kufanikiwa kwa mcheza kamari yoyote hapa ulimwenguni.

Cha msingi,siku ukipata game,lipiza kisasi. Hakikisha uchi wake unakuwa mwekundu kama jezi za watani wa Yanga.
 
Kuna mwanangu aliwahi kutuma nauli, akapika maini kilo moja na nusu na kitimoto rost cha kutosha friji ikawa imesheheni halafu shemeji yetu mpendwa hakuja vile vinywaji na mapochopocho ikabidi tufanye tu tafrija.. jamaa alichukia sana lakini hakua na namna toka siku ile demu akifika vitu ndo vinaanza kukangizwa
Hii ishanitokea sana
 
usiwaze. Maana haujui mungu anakuepusha na nini.
mimi nikimtumia demu nauli asipokuja uwa nashukuru mungu.
Wala sigombani nae demu maana naamini kuna kitu kimeniepuka.
juzi TU kuna mmoja yupo arusha nimemtumia nauli aje dar. Kakausha. Sijamtafuta.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom